Ni shule gani ya sekondari ilijengwa na wakoloni Waarabu halafu Serikali ikaitaifisha baada ya uhuru 1961?

Na astronomy ya jua kuzama matopeni. Jamaa ni mambwiga hujapata kuona.
 
Hao hata wakijenga shule na vyuo bado humo wataendelea kufundishana mambo ya kwenye kitabu chao yale ya jua kuzama matopeni. Na shida ya mafundisho yao utayaona wakifanya mitihani ya pamoja na wengine. We mtoto huko kwenye dini unakomsisitiza unamwambia jua linazama matopeni kwenye geography kule anaambiwa jua likizama ni kwamba haliendi popote kwa sababu upande mwingine wanaliona. Sasa hapo mtoto lazima kichwa ipagawe na thinking iwe limited.
 
Ikulu ya magogoni hawakuijenga wao waliikuta tayari jengo lipo na lilikuwa na matumuzi mengingine tofauti na siasa
 
wewe shule ulio jenga kijijini kwenu ni hipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…