Ni Signature ya producer gani Bongo huwa ina Swag na inakuvutia? ( Producer Mkali wa Signature)

Ni Signature ya producer gani Bongo huwa ina Swag na inakuvutia? ( Producer Mkali wa Signature)

Inagonga midundo hiyo na wasanii wetu wa Lake Zone kama kina SAIDA KAROLI, BK SANDE, KYANA KYO MUHAYA, MWL GEORGE SURA 2, BHADAGALA, MCHELEMCHELE, YA LEO KALI, LADY KILLY N.K
Papa kishaju mbona hukumtaja?![emoji23] [emoji23]
 
Hivi producer wa nyimbo kama Kaolewa ya Rostam na Mazonge ya Bright na Jolie ni nan?

Nasikiaga kitu kama Killings then MBEYAAA.

NAMWELEWA SAANA
 
Kwenye ngoma ya central zone ....anaanzaga na majengo sokoni ....binladen [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ...huwa napandwa na kichaaa kabisaaa
S2Keez beibyyyyy! na Majengo Sokoni MusiiiiiC
 
Back
Top Bottom