Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Human Rights WatchHii kamata kamata ya wakosoaji itamfanya afananishwe na mwendazake na akifika hapo si viatu wala soksi zinamtosha.
Halafu mwisho wa haya yote, mtapata nini? Walikuwepo akina Adolf Hitler, Benito Musolini, Iddi Amin Dada, na wengineo wengi! Leo hii wako wapi?Na Bado mtanyooshwa Hadi muongee yote mlikuwa mnaleta dharau na kutumia vibaya uhuru Mliyopewa.
Kamata kamata na kesi za uchochezi zilikuwa nyingi sanaKwani mwenda zake alimkamata nani na kumfungulia kesi ya uhaini?
Pamoja na maovu yake lakini hakuna na ukatili wa namna ileKwani mwenda zake alimkamata nani na kumfungulia kesi ya uhaini?
Lakini siyo ugaidi na uhainiKamata kamata na kesi za uchochezi zilikuwa nyingi sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daahPamoja na maovu yake lakini hakuna na ukatili wa namna ile
Hatari sn[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daah
Wewe ni mjinga. Hakuna atakayenyoshwa na huyu mama. Uwezekano mkubwa atapindishwa yeye hadi avunjike.Na Bado mtanyooshwa Hadi muongee yote mlikuwa mnaleta dharau na kutumia vibaya uhuru Mliyopewa.
Zipo wapi dunia mapitoKamata kamata na kesi za uchochezi zilikuwa nyingi sana
Huyu mpaka hapa alipo, hakuna kiongozi anayeweza kumfikia kwa uovu. Hakuna mtawala yeyote alitewahi kuwabambikia wakosoaji wake kesi za uhaini.Salamu mbele!
Walio wengi huku mtaani wanaona hafai kuvaa si tu viatu bali hata soksi za mwendazake, Sifa pekee inayomtofautisha na mtangulizi wake ni hii Sifa ya demokrasia na utawala bora.
Hivi karibuni ameonekana anaitupa hata hii karata muhimu inayomtofautisha na mtangulizi wake ambayo angalau inafanya watu waliokuwa hawamkubali mtangulizi wake tumuone yeye ana nafuu kidogo. Sifa iliyofanya akubalike si tu Tanzania hata na wafadhili huko nje, ajipatie mikopo na misaada kedekede.
Hii kamata kamata ya wakosoaji itamfanya afananishwe na mwendazake na akifika hapo si viatu wala soksi zinamtosha.
Wangapi wako kolokoloni wananyooshwa? Na wewe kaongee uhaini uone moto ndio tutajua wewe au yeye nani mjingaWewe ni mjinga. Hakuna atakayenyoshwa na huyu mama. Uwezekano mkubwa atapindishwa yeye hadi avunjike.
Mnamjaza ujinga ili aharibikiwe. Ana uamuzi wa kuchagua, afuate ushauri wa kijinga toka kwa wajinga au ushauri wenye manufaa toka werevu.
Nchi itakuwa na amani mstarehe saaaafi kabisa.Halafu mwisho wa haya yote, mtapata nini? Walikuwepo akina Adolf Hitler, Benito Musolini, Iddi Amin Dada, na wengineo wengi! Leo hii wako wapi?
Hivi hizi shahada za heshima za udaktari ambazo baadhi ya watu wasiostahili wametunukiwa kimakosa ama kwa kupitia "undue influence or duress" kuna utaratibu wa kuweza kuzifuta?Salamu mbele!
Walio wengi huku mtaani wanaona hafai kuvaa si tu viatu bali hata soksi za mwendazake, sifa pekee inayomtofautisha na mtangulizi wake ni hii Sifa ya demokrasia na utawala bora.
Hivi karibuni ameonekana anaitupa hata hii karata muhimu inayomtofautisha na mtangulizi wake ambayo angalau inafanya watu waliokuwa hawamkubali mtangulizi wake tumuone yeye ana nafuu kidogo. Sifa iliyofanya akubalike si tu Tanzania hata na wafadhili huko nje, ajipatie mikopo na misaada kedekede.
Hii kamata kamata ya wakosoaji itamfanya afananishwe na mwendazake na akifika hapo si viatu wala soksi zinamtosha.
"kuongea uhaini" ndiyo nini? Weka mifano. Uhaini unafanywa au "unaongelewa" waziwazi in public majukwaani?Wangapi wako kolokoloni wananyooshwa? Na wewe kaongee uhaini uone moto ndio tutajua wewe au yeye nani mjinga