Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hata mumeo naye anapata shida, kama ni bei zimepanda kwa wotealikuwa muovu eh[emoji3][emoji3][emoji3].
haya tulieni dawa iwaingie,mama anaupiga mwingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mumeo naye anapata shida, kama ni bei zimepanda kwa wotealikuwa muovu eh[emoji3][emoji3][emoji3].
haya tulieni dawa iwaingie,mama anaupiga mwingi.
Hata mumeo naye anapata shida, kama ni bei zimepanda kwa wote
Basi kaa na mumeo myamalizekwani wewe ni mchepuko wake!!!kama kakunyima hela ya pedi kisingizio anapitia shida ni muongo,kakutia bure makusudi tu.
Basi kaa na mumeo myamalize
Sawa dada anguwala hatuna ugomvi,kama kakutia bure sisitiza katiba mpya.
Sawa dada angu
Kuna neno umetumia hapa siyo rahisi kutumiwa na Mtanganyika. Mara nyingi hutumiwa na ninyi. "wamekuumbueni" mwisho mtaelewa tu kwamba bandari siyo yenu na hamtakiwi kuiuza.Na uongo wenu huu nao utashindwa kama mlivyoshindwa kwa mingine. Huko mwanza kwenyewe mlikokuwa mndanganya humu kuwa wanawaelewa juzi wamekuumbueni baada ya kuwaonyesha mbele ya macho yenu kuwa anapokosekana Mama Samia Suluhu Hassan huko, The Mother of Modern Tanzania au wasaidizi wake, basi bora wamsikilize Diamond kuliko nyie!!
Pumbav kabisa. Uhaini unasemwa majukwaani?Mama Kamatia hapo hapo wameanza kukuelewa
Hakika mmechanganyikiwa!!Kuna neno umetumia hapa siyo rahisi kutumiwa na Mtanganyika. Mara nyingi hutumiwa na ninyi. "wamekuumbueni" mwisho mtaelewa tu kwamba bandari siyo yenu na hamtakiwi kuiuza.