Ni sikio la kufa? Mama anaitupa kadi yake muhimu ya kukubalika kwake

Ni sikio la kufa? Mama anaitupa kadi yake muhimu ya kukubalika kwake

Na uongo wenu huu nao utashindwa kama mlivyoshindwa kwa mingine. Huko mwanza kwenyewe mlikokuwa mndanganya humu kuwa wanawaelewa juzi wamekuumbueni baada ya kuwaonyesha mbele ya macho yenu kuwa anapokosekana Mama Samia Suluhu Hassan huko, The Mother of Modern Tanzania au wasaidizi wake, basi bora wamsikilize Diamond kuliko nyie!!
Kuna neno umetumia hapa siyo rahisi kutumiwa na Mtanganyika. Mara nyingi hutumiwa na ninyi. "wamekuumbueni" mwisho mtaelewa tu kwamba bandari siyo yenu na hamtakiwi kuiuza.
 
Kuna neno umetumia hapa siyo rahisi kutumiwa na Mtanganyika. Mara nyingi hutumiwa na ninyi. "wamekuumbueni" mwisho mtaelewa tu kwamba bandari siyo yenu na hamtakiwi kuiuza.
Hakika mmechanganyikiwa!!
 
Back
Top Bottom