Ni siku gani ndugu zetu wana Mbeya nao watajua kujisimamia wenyewe?

Ni siku gani ndugu zetu wana Mbeya nao watajua kujisimamia wenyewe?

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Habari zenu wana JF wenzangu,

Ndugu zangu toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe wana Mbeya wameonesha hamasa kubwa ya kutaka mageuzi nje ya CCM, lakini wanaonesha kuwa hawana uwezo wa kujisimamia wenyewe katika kuyataka mageuzi hayo, mpaka kupitia kwa watu wengine kama vile wana Kilimanjaro na wana Kigoma wenye nia na malengo kama yao matokeo yake wana Mbeya wanajikuta wanatumiwa tu na hao wengine kama ngazi.

Mfano wana Kilimanjaro tulipohitaji mageuzi nje ya CCM tuliwatumia wana Kilimanjaro wenzetu kuanzisha vyama ambavyo viliongozwa na kusimamiwa na Kilimanjaro wenzetu, japo kuna baadhi ya post vinyu tuliwaweka watu wengine wa mikoa mbali mbali ili kuufumba macho umma wa watanzania usitujaji kwa mfumo wetu wa uongozi katika vyama vyetu.

Unaweza kuangalia mfumo wa viongozi katika chama cha NCCR - Mageuzi toka kuasisi kwake hadi leo ni viongozi wangapi kutoka mikoa mingine ambao walikiongoza chama hicho ukilinganisha na wa kutoka Kilimanjaro.

Ukija Chadema pia ukimtia Bob Makani ambae aliwekwa pale kama zuga ni kiongozi gani mungine kutoka mkoa mungine ashathubutu kukiongoza chama hicho.

Tukija kwa wana Kigoma nao kupitia Zito walipoona kwamb wanahitaji mageuzi nje ya CCM, lkn pia nje ya vyama vingine vya upinzani wana Kigoma hao kupitia Zito wakaanzisha chama chao cha ACT - wazalendo kikiongozwa na huyo huyo mwana Kigoma mwenzao Zito, lakini pia hata safu ya uongozi imejaa wala mawese na migebuka watupu japo wamezuga zuga na wapemba kadhaa ili waweze kuvuta sadaka na michango mbali mbali kutoka kwa wapemba wenye maduka yao.

Sasa ndugu zetu wana Mbeya sijui wanakwama wapi. Wao wamekuwa wakitumiwa kwa masilahi ya wenye vyama fulan, huku wakiwadanganya baadhi ya viongozi wa wana Mbeya hao vyeo vidogo vidogo vya kwenye vyama ili kuwafumba macho wasishtuke na kuanzisha vya kwao.

Ni muda sasa wa wana Mbeya nao kuja na mageuzi ya kweli kupitia chama kitachoasisiwa na mwana Mbeya mwenyewe, sio kufanywa madaraja na wajanja wachache kutoka Kigoma na Kilimanjaro kama vile Mbeya hakuna wasomi.
 
Watu wa Mbeya siyo wabinafsi kama watu wa Kilimanjaro na ndiyo maana SUGU kutoka kabila Wakinga akapewa Ubunge.

Tanzania ya ukabila hatuitaki Mkuu, kwani Uchaga umeifikisha wapi CHADEMA?
Mimi sizungumzii ukabila, bali nazungumzia swala la wao kujitambua na kujiuliza ni kwann mkoa wao ndio utumike kama kichochoro cha mafanikio ya vyama vilivyoanzishwa na wajanja wa mikoa mingine?

Je, wao hawana wasomi wa kuweza kuanzisha vyama kama wana Kigoma?
 
Sugu ni mngoni!!!
Kama hujui kitu kaa kimya ,tokea lini Mbilinyi akawa mngoni?

Labda ungesema ni mkinga wa songea ungeeleweka kidogo.
Hata mimi nimeshangaa kusikia eti Sugu ni mngoni. Mbona hata jina lake halijakaa kingoni ngoni.
 
Watu wa Mbeya siyo wabinafsi kama watu wa Kilimanjaro na ndiyo maana SUGU kutoka kabila Wakinga akapewa Ubunge.

Tanzania ya ukabila hatuitaki Mkuu, kwani Uchaga umeifikisha wapi CHADEMA?
Chadema ipi Ina uchagga? Ukienda Mara chadema Ina following kuliko hata huko kaskazini. Hata Morogoro kuanzia Ifakara,mlimba,Mikumi kote huko Iko popular Kuna wachagga? Bukoba Kuna wachagga pia? Acheni story za ukabila, chadema ni chama Cha kitaifa tokea 2004.
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Ndugu zangu toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe wana Mbeya wameonesha hamasa kubwa ya kutaka mageuzi nje ya CCM, lakini wanaonesha kuwa hawana uwezo wa kujisimamia wenyewe katika kuyataka mageuzi hayo, mpaka kupitia kwa watu wengine kama vile wana Kilimanjaro na wana Kigoma wenye nia na malengo kama yao matokeo yake wana Mbeya wanajikuta wanatumiwa tu na hao wengine kama ngazi.

Mfano wana Kilimanjaro tulipohitaji mageuzi nje ya CCM tuliwatumia wana Kilimanjaro wenzetu kuanzisha vyama ambavyo viliongozwa na kusimamiwa na Kilimanjaro wenzetu, japo kuna baadhi ya post vinyu tuliwaweka watu wengine wa mikoa mbali mbali ili kuufumba macho umma wa watanzania usitujaji kwa mfumo wetu wa uongozi katika vyama vyetu.

Unaweza kuangalia mfumo wa viongozi katika chama cha NCCR - Mageuzi toka kuasisi kwake hadi leo ni viongozi wangapi kutoka mikoa mingine ambao walikiongoza chama hicho ukilinganisha na wa kutoka Kilimanjaro.

Ukija Chadema pia ukimtia Bob Makani ambae aliwekwa pale kama zuga ni kiongozi gani mungine kutoka mkoa mungine ashathubutu kukiongoza chama hicho.

Tukija kwa wana Kigoma nao kupitia Zito walipoona kwamb wanahitaji mageuzi nje ya CCM, lkn pia nje ya vyama vingine vya upinzani wana Kigoma hao kupitia Zito wakaanzisha chama chao cha ACT - wazalendo kikiongozwa na huyo huyo mwana Kigoma mwenzao Zito, lakini pia hata safu ya uongozi imejaa wala mawese na migebuka watupu japo wamezuga zuga na wapemba kadhaa ili waweze kuvuta sadaka na michango mbali mbali kutoka kwa wapemba wenye maduka yao.

Sasa ndugu zetu wana Mbeya sijui wanakwama wapi. Wao wamekuwa wakitumiwa kwa masilahi ya wenye vyama fulan, huku wakiwadanganya baadhi ya viongozi wa wana Mbeya hao vyeo vidogo vidogo vya kwenye vyama ili kuwafumba macho wasishtuke na kuanzisha vya kwao.

Ni muda sasa wa wana Mbeya nao kuja na mageuzi ya kweli kupitia chama kitachoasisiwa na mwana Mbeya mwenyewe, sio kufanywa madaraja na wajanja wachache kutoka Kigoma na Kilimanjaro kama vile Mbeya hakuna wasomi.
Ningekuwa wewe nisingeandika huu uzi umewavua nguo wachaga. Wachaga hawana uwezo kuongoza taasisi yoyote ya kitaifa hawana. Ndiyo maana mpaka Leo hakuna mchaga ameaminiwa kuwa waziri mkuu. Angalia vyama vinavyoongozwa na wachaga vimekufa vyote. Aliyekipaisha CHADEMA ni Dr. Wilbroad Slaa iko wapi sahv wamebaki kulalamika na kutafuta mchawi. Mchawi ni Mbowe hana uwezo. Bora ungechutama siyo kwa aibu hii uliyoiandika
 
Chadema ipi Ina uchagga? Ukienda Mara chadema Ina following kuliko hata huko kaskazini. Hata Morogoro kuanzia Ifakara,mlimba,Mikumi kote huko Iko popular Kuna wachagga? Bukoba Kuna wachagga pia? Acheni story za ukabila, chadema ni chama Cha kitaifa tokea 2004.
Wapi nimetaja kabila? Kwani Kilimanjaro ni ya wachagga tu, au Kigoma ni ya waha peke yao?

Lakini pia kama nilivyosema kuwa Mbeya na hizo sehem ulizotaja zinatumiwa kama uchochoro, au daraja la mafanikio ya kisiasa kwa wajanja wachache walioanzisha hivyo vyama.
Wafia chama kutoka mikoa hiyo uliyotaja wataishia kurubuniwa na viji vyeo vidogo vidogo sijui umoja wa vijana wa ACT wazalendo, bavicha, uenyekiti wa shina nk, lkn nafasi za juu kitaifa wataishia kuzisikia kwenye bomba na kuwapigia kura wenye chama.
 
Ningekuwa wewe nisingeandika huu uzi umewavua nguo wachaga. Wachaga hawana uwezo kuongoza taasisi yoyote ya kitaifa hawana. Ndiyo maana mpaka Leo hakuna mchaga ameaniwa kuwa waziri mkuu. Anglia vyama vinavyoongozwa na wachaga vimekufa vyote. Aliyekipaisha CHADEMA ni Dr. Wilbraham Slaa iko wapi sahv wamebaki kulalamika na kutafuta mchawi. Mchawi ni Mbowe hana uwezo. Bora ungechutama siyo kwa aibu hii uliyoiandika
Mkuu kuanzisha chama na kufanikiwa kumiliki chawa na nyumbu kibao katika mikoa mbali mbali kama vile Mbeya, Mara, Zanzibar, Lindi nk sio kazi ndogo.

Ni akili kubwa ilitumika, tena kwa mikoa kama Mbeya au Mara ambayo ndio inajifanya ina wasomi wengi nchi hii kushikiwa akili na kina Zito ni aibu sana.
 
Back
Top Bottom