Ni siku gani ndugu zetu wana Mbeya nao watajua kujisimamia wenyewe?

Ni siku gani ndugu zetu wana Mbeya nao watajua kujisimamia wenyewe?

Wapi nimetaja kabila? Kwani Kilimanjaro ni ya wachagga tu, au Kigoma ni ya waha peke yao?

Lakini pia kama nilivyosema kuwa Mbeya na hizo sehem ulizotaja zinatumiwa kama uchochoro, au daraja la mafanikio ya kisiasa kwa wajanja wachache walioanzisha hivyo vyama.
Wafia chama kutoka mikoa hiyo uliyotaja wataishia kurubuniwa na viji vyeo vidogo vidogo sijui umoja wa vijana wa ACT wazalendo, bavicha, uenyekiti wa shina nk, lkn nafasi za juu kitaifa wataishia kuzisikia kwenye bomba na kuwapigia kura wenye chama.
Acha uchochezi, tukienda kwa staili hii nao Kigoma au Wakurya wakidai vyeo kisa wamesimama kwenye upinzani tokea 1995 itakuaje? Tanzania ni nchi pekee ambayo mtu anapanda kisiasa bila back up ya Kabila lake.

By the way Juliana Shonza au Mtela Mwampamba wangepewa Uenyekiti na Ukatibu mkuu wa Youth wing ya CHADEMA kama kungekua na ukabila? Tamaa zao tu ziliwapeleka CCM ila Mwampamba, Shonza na Silinde ndio walikua the future ya CHADEMA na walikua groomed vilivyo and not otherwise.
 
Mkuu kuanzisha chama na kufanikiwa kumiliki chawa na nyumbu kibao katika mikoa mbali mbali kama vile Mbeya, Mara, Zanzibar, Lindi nk sio kazi ndogo.

Ni akili kubwa ilitumika, tena kwa mikoa kama Mbeya au Mara ambayo ndio inajifanya ina wasomi wengi nchi hii kushikiwa akili na kina Zito ni aibu sana.
Ukisema nyumbu una maana Gani? Kwahiyo ukishabikia CCM ndio unakuta timamu? Chama ambacho kimefeli kututoa kwenye umaskini kwa miaka 60 Sasa tokea uhuru.

Hakuna mtu mwenye akili timamu ashabikie CCM, ndio maana maeneo yote yenye wasomi nchi hii angalia pattern yao ya kupiga kura ni upinzani tu.
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Ndugu zangu toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe wana Mbeya wameonesha hamasa kubwa ya kutaka mageuzi nje ya CCM, lakini wanaonesha kuwa hawana uwezo wa kujisimamia wenyewe katika kuyataka mageuzi hayo, mpaka kupitia kwa watu wengine kama vile wana Kilimanjaro na wana Kigoma wenye nia na malengo kama yao matokeo yake wana Mbeya wanajikuta wanatumiwa tu na hao wengine kama ngazi.

Mfano wana Kilimanjaro tulipohitaji mageuzi nje ya CCM tuliwatumia wana Kilimanjaro wenzetu kuanzisha vyama ambavyo viliongozwa na kusimamiwa na Kilimanjaro wenzetu, japo kuna baadhi ya post vinyu tuliwaweka watu wengine wa mikoa mbali mbali ili kuufumba macho umma wa watanzania usitujaji kwa mfumo wetu wa uongozi katika vyama vyetu.

Unaweza kuangalia mfumo wa viongozi katika chama cha NCCR - Mageuzi toka kuasisi kwake hadi leo ni viongozi wangapi kutoka mikoa mingine ambao walikiongoza chama hicho ukilinganisha na wa kutoka Kilimanjaro.

Ukija Chadema pia ukimtia Bob Makani ambae aliwekwa pale kama zuga ni kiongozi gani mungine kutoka mkoa mungine ashathubutu kukiongoza chama hicho.

Tukija kwa wana Kigoma nao kupitia Zito walipoona kwamb wanahitaji mageuzi nje ya CCM, lkn pia nje ya vyama vingine vya upinzani wana Kigoma hao kupitia Zito wakaanzisha chama chao cha ACT - wazalendo kikiongozwa na huyo huyo mwana Kigoma mwenzao Zito, lakini pia hata safu ya uongozi imejaa wala mawese na migebuka watupu japo wamezuga zuga na wapemba kadhaa ili waweze kuvuta sadaka na michango mbali mbali kutoka kwa wapemba wenye maduka yao.

Sasa ndugu zetu wana Mbeya sijui wanakwama wapi. Wao wamekuwa wakitumiwa kwa masilahi ya wenye vyama fulan, huku wakiwadanganya baadhi ya viongozi wa wana Mbeya hao vyeo vidogo vidogo vya kwenye vyama ili kuwafumba macho wasishtuke na kuanzisha vya kwao.

Ni muda sasa wa wana Mbeya nao kuja na mageuzi ya kweli kupitia chama kitachoasisiwa na mwana Mbeya mwenyewe, sio kufanywa madaraja na wajanja wachache kutoka Kigoma na Kilimanjaro kama vile Mbeya hakuna wasomi.
Haihitajiki elimu kubwa sana kuutambua ubongo uliochanganyika na haja kubwa
 
Acha uchochezi, tukienda kwa staili hii nao Kigoma au Wakurya wakidai vyeo kisa wamesimama kwenye upinzani tokea 1995 itakuaje? Tanzania ni nchi pekee ambayo mtu anapanda kisiasa bila back up ya Kabila lake.

By the way Juliana Shonza au Mtela Mwampamba wangepewa Uenyekiti na Ukatibu mkuu wa Youth wing ya CHADEMA kama kungekua na ukabila? Tamaa zao tu ziliwapeleka CCM ila Mwampamba, Shonza na Silinde ndio walikua the future ya CHADEMA na walikua groomed vilivyo and not otherwise.
Hao wote ni Songwe, Mbeya halisi humshawishi kwa vipande vya shekeli, Mbeya a spead is a spead. Fuatilia ujifunze.
 
Ukisema nyumbu una maana Gani? Kwahiyo ukishabikia CCM ndio unakuta timamu? Chama ambacho kimefeli kututoa kwenye umaskini kwa miaka 60 Sasa tokea uhuru.

Hakuna mtu mwenye akili timamu ashabikie CCM, ndio maana maeneo yote yenye wasomi nchi hii angalia pattern yao ya kupiga kura ni upinzani tu.
Ukute na wewe ni mtu wa Mbeya uliekubali kuwekewa akili yako mfukoni na mwenyekiti ambae hajui hata kijiji unachotoka achilia mbali nyumba au mtaani unaoishi. So sad!!
 
Wewe na mleta uzi ni pipa na mfuniko wake
Watu wa Mbeya mtaishia kutumiwa kwenye matusi na uwana harakati koko, lkn kwenye zile nafasi za juu za kula mema ya chama hamtawekwa kamwe. Mkihurumiwa sana mtalaghaiwa na vicheo vidogo vya kwenye umoja wa vijana wa ACT wazalendo au bavicha.
 
Acha uchochezi, tukienda kwa staili hii nao Kigoma au Wakurya wakidai vyeo kisa wamesimama kwenye upinzani tokea 1995 itakuaje? Tanzania ni nchi pekee ambayo mtu anapanda kisiasa bila back up ya Kabila lake.

By the way Juliana Shonza au Mtela Mwampamba wangepewa Uenyekiti na Ukatibu mkuu wa Youth wing ya CHADEMA kama kungekua na ukabila? Tamaa zao tu ziliwapeleka CCM ila Mwampamba, Shonza na Silinde ndio walikua the future ya CHADEMA na walikua groomed vilivyo and not otherwise.
Kigoma wadai vyeo gani tena na wakati tayari wanavyo kupitia ACT wazalendo? Kigoma wamejitambua mapema wakakataa kuburuzwa na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa uchwara.
Japo chama chao hakina kichwa wala miguu, lkn wamejaribu kukwepa kutumiwa kama daraja na wajanja fulan kutoka sehemu fulan. Mbeya bado hawajashtuka ndo maana wamekalia uwana harakati koko huku mapato ya ruzuku na vyeo vya juu vikielekezwa kwa wajanja wengine.
 
Sugu ni mngoni!

Kama hujui kitu kaa kimya ,tokea lini Mbilinyi akawa mngoni?

Labda ungesema ni mkinga wa songea ungeeleweka kidogo.
Sugu ni Mngoni

Mr Dudumizi
Jemima Mrembo yupo sahihi

MBILINYI kwa asili ni wangoni. Kutokana na kuhama hama wakajikuta wanaishia kuwa wakinga, wabena na wahehe.

Kabla hamjazaliwa alikuwepo waziri wa fedha simon Mbilinyi kutoka Songea.. Pesa zilikuwa na chata ya mbilinyi kipindi hicho.. Simon Mbilinyi - Wikipedia, kamusi elezo huru
 
Kigoma wadai vyeo gani tena na wakati tayari wanavyo kupitia ACT wazalendo? Kigoma wamejitambua mapema wakakataa kuburuzwa na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa uchwara.
Japo chama chao hakina kichwa wala miguu, lkn wamejaribu kukwepa kutumiwa kama daraja na wajanja fulan kutoka sehemu fulan. Mbeya bado hawajashtuka ndo maana wamekalia uwana harakati koko huku mapato ya ruzuku na vyeo vya juu vikielekezwa kwa wajanja wengine.
Kigoma Wana chama? Mbona ACT ni ya wapemba tu.... 2015 walipata majimbo sawa na Chadema hapo kigoma. Chadema both 2015 na 2020 Ina kura za Urais mara 20 ya ACT hapo kigoma Sasa sijui definition Yako ya chama Cha kigoma ni ipi ilihali hta hapo kigoma hakidominate maana kimenunuliwa Pemba kwa Sasa.

Anyway vipi sisi wakurya tudai vyeo maana tumechagua Chadema tokea 1995? Au tuanzishe chama chetu?
 
Watu wa Mbeya mtaishia kutumiwa kwenye matusi na uwana harakati koko, lkn kwenye zile nafasi za juu za kula mema ya chama hamtawekwa kamwe. Mkihurumiwa sana mtalaghaiwa na vicheo vidogo vya kwenye umoja wa vijana wa ACT wazalendo au bavicha.
Umeandika upuuzi mwingi sana sijui umekunywa maji machafu ya wapi wewe
 
Ukute na wewe ni mtu wa Mbeya uliekubali kuwekewa akili yako mfukoni na mwenyekiti ambae hajui hata kijiji unachotoka achilia mbali nyumba au mtaani unaoishi. So sad!!
Nimeingia Chadema tokea 2004, kwa ajili ya sera ya Mrengo wa kati kulia

pia Mimi ni muumini wa Private sector-driven economy na Hilo linapatikana Chadema pekee.

Pia ni muumini wa ugatuzi wa mamlaka na hiyo sera ya ugatuzi kupitia majimbo inapatikana Chadema pekee.

So whether mwenyekiti awe mchagga au Muha I'm here to stay maana sikuingia sababu ya ukabila.

We hushangai mkoa aliozaliwa Nyerere ndio una embrace upinzani kiasi majimbo 4 yakaanguka 2015?

Siasa za ukabila hazina nafasi huku kwetu.
 
Kigoma Wana chama? Mbona ACT ni ya wapemba tu.... 2015 walipata majimbo sawa na Chadema hapo kigoma. Chadema both 2015 na 2020 Ina kura za Urais mara 20 ya ACT hapo kigoma Sasa sijui definition Yako ya chama Cha kigoma ni ipi ilihali hta hapo kigoma hakidominate maana kimenunuliwa Pemba kwa Sasa.

Anyway vipi sisi wakurya tudai vyeo maana tumechagua Chadema tokea 1995? Au tuanzishe chama chetu?
Uamuzi ni wenu mkuu, kuendelea kutumiwa kufanya uwana harakati kwa masilahi ya wajanja wachache waliohodhi nafasi kubwa kubwa za juu chamani, au na nyinyi kuangalia ni namna gani na nyinyi mtaweza kupewa nafasi hizo ili mpate imani kuwa na nyinyi wakurya michango yenu inatambulika kichama nk.
 
Sugu ni Mngoni

Mr Dudumizi
Jemima Mrembo yupo sahihi

MBILINYI kwa asili ni wangoni. Kutokana na kuhama hama wakajikuta wanaishia kuwa wakinga, wabena na wahehe.

Kabla hamjazaliwa alikuwepo waziri wa fedha simon Mbilinyi kutoka Songea.. Pesa zilikuwa na chata ya mbilinyi kipindi hicho.. Simon Mbilinyi - Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkuu hapa mbona tunamzungumzia Joseph Mbilinyi 'Sugu' na sio huyo aliekuwa waziri wa fedha.

Hawa japo majina yao yanafanana lkn ni watu wawili tofauti.
 
Back
Top Bottom