Ni siku gani ndugu zetu wana Mbeya nao watajua kujisimamia wenyewe?

Ni siku gani ndugu zetu wana Mbeya nao watajua kujisimamia wenyewe?

Wabunge wa 2015 aliyewaleta ni Lowassa we mdumavu wa akili. Mbowe 2005 alileta impact ipi. Watanzania wenye akili wanajua aliyepaaisha CHADEMA ni Dr. Wilbroad Slaa, hata ule uchaguzi wa 2015 Dr. Slaa alijiondoa muda mfupi tu kabla ya uchaguzi aliacha chama imara sana. Alijiondoa kwasababu Dr. Slaa ni mtu wa principles huwezi kumburuza na watu wa aina yake ni wachache sana hata Tundu Lissu hana principles yoyote anaangalia maslahi siyo Doctor

Mpumbavu mwenyewe taahira mkubwa mjaa laana. Kwa hivyo huyo Lowassa aliletwa na Nani?. Kila siku mnasema Mbowe aliuza chama kwa Lowassa , halafu Leo unasema Lowasaa kawaleta wabunge wengi chadema. Mimi nakwambia mwaka 2015 Mbowe aliona mbali kumleta Lowassa Sasa sijui unapinga Nini.

Halafu Dr Slaa hakuama CHADEMA kwaajili ya principles Bali alihama kwaajili ya kutoswa kwenye urais. Hakuna mtu aliyekuwa hana msimamo Kama Dr Slaa. Alishindwa upadri, alikimbia CCM baada ya kunyimwa tiketi ya ubunge, kamkimbia mke wake na watoto kumfuata mke wa mtu, kakimbia CHADEMA kisa Lowassa kupewa tiketi ya urais nk.
 
Punguza ukabila. Tangu lini ACT imekuwa chama Cha Kigoma?. Tangu lini Chadema kimekuwa chama Cha Kilimanjaro?. Hivi vyama vina ufuasi mkubwa nchi nzima hasa CHADEMA. Kwa Zanzibar Ni ACT.
Mimi sizungumzii wanachama na wafuasi wao waliopo nchi nzima, ambao wengi wao wanatumiwa na viongozi wa vyama kufuanya uwana haraka uchwara na kuishia kukamatwa, kuvunjwa miguu na kupata ulemavu wa maisha (huku hasara ya ulemavu na vifungo hivyo wakipata wazazi na ndugu wa walioathirika) wengine hadi kuuwawa kwa faida za waliopo juu ya chama na familia zao. Hapa nazungumzia nafasi za juu za vyama kitaifa zinashikwa na kina nani, japo anaweza kuwekwa mmoja au wawili kutoka Zanzibar au mkoa fulan kwa lengo la kuwafumba macho wana harakati wanaotumiwa kisiasa na viongozi hao.
 
Punguza roho mbaya. Mbona Lissu kapigwa risasi ni wa mbeya?
Kipindi hicho anapigwa risasi alikuwa hajawa na cheo alichonacho leo.
Kwahiyo alikuwa bado anatumiwa na wajanja kutoa kauli zisizoeleweka kwa faida za walio juu yake.
 
Al

ACT ngome yake Pemba sio kigoma.
Pemba imewekwa kwa lengo maalum wajanja wakusanye sadaka na michango ya wapemba, ila wenye chama chao wako Kigoma wanakula migebuka na mawese.
 
Chama kilichanzishwa na mchaga ni kimoja tu CHADEMA tena akishirikiana na msukuma wa Shinyanga Bpb Makani. NCCR-MAGEUZI na TLP vilianzishwa na watu wa makabila mengine. We nafikiri ni wale wachaga waliosomea shule ya kata umedanganywa na wachaga wenzako wakabila, mbona wamesahau kukueleza kuwa vyama vyote vinavyoongozwa na wachaga viko mahututi. Wachaga hawana sifa ya uongozi wanachoweza ni kuiibia taasisi anayoiongoza na kuifanya mali yake binafsi. Mtu kama Mbowe unaweza kusema kweli ni kiongozi? Bchi hii unasimamiwa na mfumo makini sana hawawezi kumuachia nchi kwa muhuni kama Mbowe. Angalia CHADEMA amekifanya chama chake binafsi hana mpango wa kuachia uenyekiti, eti chama cha demokrasia. Vijana wa CHADEMA hawajui hata maana ya demokrasia nini?
Ukiondoa CCM ambacho ni chama cha kitaifa, nioneshe chama kingine (sio chadema, nccr) kilichoanzishwa na watu wa kutoka mikoa mingine ambacho mpaka leo bado kina mamilioni ya wafuasi? ACT wazalengo bado wapya kwahiyo usiwahusishe na swali langu.
 
Furaha yako kila mtu aifuate CCM . Mbona mkoa wa Mbeya wote ni CCM inaongoza kwenye kila ngazi ila bado hujaridhika. Unataka Wana mbeya wafanyeje kwa mfano?
CCM hatuwahitaji wana Mbeya maana wengi wao ni rahisi kutumiwa na wanasiasa uchwara.

We fikiria mpaka Zito ana chaka lake Mbeya. Dah.....
 
Vipi kuhusu...
Tanga Mara Manyara Mwanza Kagera Dodoma Morogoro Singida Iringa Songea na kadhalika?
Pumbavu!
Hiyo mikoa uliyotaja hapa wasomi wao wengi wana nafasi kubwa kubwa ndani ya CCM, wala hawatumiwi kufanya uwana harakati uchwara kwa faida za wachache chamani.
 
Back
Top Bottom