Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee natupenda ila nyapara tu ndio ananitia wasiwasi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]for sure you are evil spirit
Sent using Jamii Forums mobile app
....nasi twawapenda, ila tunashindwa kuwaambia piaNapenda wadada wa humu Jf ila siwezi kuwaambia, 🤣🤣🤣
ExactlySiri ni Siri
Pm zipo wazi jamni! 😍....nasi twawapenda, ila tunashindwa kuwaambia pia
Tatizo mnachati na sisi kila muda huko Pm, halafu hamtaki kutuma pesa za bandoPm zipo wazi jamni! 😍
Mshukuru Mungu sana comrade !uliwahi kujiuliza nini kingetokea maishani mwako kama ungefanya na muhusika!!?Nimeshindwa kupig show mara 5 mfululizo ngoma inaamk nikitak tu kuwek Ina lala hii ndo yangu😭😭
Poleni, hata mm ndo hicho naogopa, kupigwa mizinga🤣 nataka real connection.Tatizo mnachati na sisi kila muda huko Pm, halafu hamtaki kutuma pesa za bando
Ndio maana tunazifunga Pm zetu.
Kuna baadhi ya wanaume wa humu wanaboa sana
Tuma pesa ya bando sasa...🤭 Uone nilivyo real!!!Poleni, hata mm ndo hicho naogopa, kupigwa mizinga🤣 nataka real connection.