Ni situation gani ilikufanya utambue kuwa lazima utafute pesa hata iweje?

Ni situation gani ilikufanya utambue kuwa lazima utafute pesa hata iweje?

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Mimi nililelewa na bibi na baba yetu ndo alikuwa anaprovide for the family. Kwa bahati mbaya baba akafariki nikiwa form 1 na bibi alikuwa mzee na hajishughulishi na chochote. Ili nipate msaada wa vitu vya shule ilinibidi niende kwa ndugu wa baba kuomba msaada ili niweze kwenda shule.

Nikafika kwa baba mdogo na list yangu viligharimu kama elfu 30. Nikaambiwa nideki, nifue na kuosha vyombo kwanza ndo anipatie hela. Nilivyomaliza hizo kazi akanipa elfu ishirini akaniambia nyingine nikajitafutie.

Kwanzia ile siku aisee nimeondoka pale najisemea lazima nitafute hela yangu mwenyewe aisee
 
Pole sana..ukiachana na kufiwa, sijaona kubwa lililokupata hapo kwenye huo msaada.
Na tena mimi naona ukipaswa kufurahi maana hiyo pesa hukupewa kama msaada, bali umeitolea jasho. Kwakifupi baba yako mdogo hakukupa msaada, alikupa kazi, ukalipwa ujira, hiyo ni pesa yako ulioitolea jasho
 
FB_IMG_17399519815745160.jpg
 
Siku nimefika kununua Private jet Boeing 757 nikiwa na 150M USD Cash nikaambiwa niongeze 100,000 USD nilijiona masikini sana.
 
Back
Top Bottom