Chukua TLC toleo la hivi karibuniWadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.
Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.
Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunue TV ya kweli nirudi kwenye modern life.
Karibuni kwa ushauri.
TCL model mpya ni nzuri sanaNilipoanza kununua flat TV nilianza na LG ya LED 43" ila aliporudi mbabe wa kioo bwana Hitachi kwa jina la TCL sikujishauri kuvuta smart TV ya 55" kwao, kutokana na durability ya product zao. Nna imani hiki kioo kitapiga kazi kwa hadi miaka 15 mbele bila tatizo (kuna tv ya Hitachi ya 21" ilinunuliwa na dingi 1998 na mpaka sasa inapiga kazi, imekuwa inahama vyumba tu pale home na kwa sasa iko ghetto la msaidizi wa kazi wa home ikiwa haijachora hata mstari mmoja)
Hio Hisense 43 4k ulinunua tshngapMwaka 2018 nlinunua TCL 43" smart TV 4k, nimedumu nayo mpaka this year January 1 nimeipeleka home na still wameiona ni mpya, picha nzuri, sound nzuri, smart TV si haba,
This year nimechukua TCL 55" 735 QLED 4k GOOGLE TV, ( its just magical , a smartphone in a TV, ) (TCL TV C735-QLED-4K HDR PRO-ONKYO-Google TV-TCL Global )
ina mengi ya kuelezea na kiukweli naenjoy, good movies experience, gaming experience, football experience, ila ukiweka wasafi TV usitegemee itaonyesha picha ya 4k, [emoji3]
Nina kibanda changu cha PlayStation nimewawekea hisense 43" 4k zina miezi 6 sasa , sio mbaya ila kwa hizi low budget TVs TCL ana offer vitu vingi extra...
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sasa kama umenunua TV ya milioni 2 hupaswi kulaumu Hisense ya laki saba, Sidhani kama ulitegemea ubora utafananalakin udumuj wa samsung ni tofaut na hisense imagine nimenunua hisense 4k 43” ndan ya mwaka na nusu ishaanza matatizo nikaisukum nimechukua samsung ya 2022 55” 4k bei 2M
bora ghali kinachodumu
Hujui ulisemalohakuna mchina anaedumu miaka 3 bila kupoteza ubora
Ofcoz reliability kweny brand kubwa ni ni ya juu,huez ikuta kweny hizi brand za kati na chinilakin udumuj wa samsung ni tofaut na hisense imagine nimenunua hisense 4k 43” ndan ya mwaka na nusu ishaanza matatizo nikaisukum nimechukua samsung ya 2022 55” 4k bei 2M
bora ghali kinachodumu
Mkuu hiyo TCL yenye google OS inasupport app za android kama ilivyo kwa Android TV. Pia unaweza kuinstall app nje ya app store yake..?Mwaka 2018 nlinunua TCL 43" smart TV 4k, nimedumu nayo mpaka this year January 1 nimeipeleka home na still wameiona ni mpya, picha nzuri, sound nzuri, smart TV si haba,
This year nimechukua TCL 55" 735 QLED 4k GOOGLE TV, ( its just magical , a smartphone in a TV, ) (TCL TV C735-QLED-4K HDR PRO-ONKYO-Google TV-TCL Global )
ina mengi ya kuelezea na kiukweli naenjoy, good movies experience, gaming experience, football experience, ila ukiweka wasafi TV usitegemee itaonyesha picha ya 4k, [emoji3]
Nina kibanda changu cha PlayStation nimewawekea hisense 43" 4k zina miezi 6 sasa , sio mbaya ila kwa hizi low budget TVs TCL ana offer vitu vingi extra...
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Yeah , japo application zingine zipo kwenye Google TV na hazipo kwenye android TV, and viseversaMkuu hiyo TCL yenye google OS inasupport app za android kama ilivyo kwa Android TV. Pia unaweza kuinstall app nje ya app store yake..?
Mkuu hongera kwa maelezo ya kitaalam,kwa bajeti ya 1.2M naweza kupata Sony au Lg ya mpya aina ipi? na wapi naweza kupata maduka yanayouza hizo brand Og.Mpya ndo hio around 1m mpaka 2m sababu si oled, panel yake ni VA,
Panel za VA hazina rangi nzuri kama Oled ama IPS ila sifa yake kubwa ina input lag ndogo, kutumia kama monitor, kuchezea games na hata kuangalizia vitu ambavyo vina motion kama mpira.
Pia VA si nzuri kwenye Mwanga mdogo na pia hazina view angle nzuri incase sebule yako ni pana.
Hio uliichukua kwa bei ganiMwaka 2018 nlinunua TCL 43" smart TV 4k, nimedumu nayo mpaka this year January 1 nimeipeleka home na still wameiona ni mpya, picha nzuri, sound nzuri, smart TV si haba,
This year nimechukua TCL 55" 735 QLED 4k GOOGLE TV, ( its just magical , a smartphone in a TV, ) (TCL TV C735-QLED-4K HDR PRO-ONKYO-Google TV-TCL Global )
ina mengi ya kuelezea na kiukweli naenjoy, good movies experience, gaming experience, football experience, ila ukiweka wasafi TV usitegemee itaonyesha picha ya 4k, [emoji3]
Nina kibanda changu cha PlayStation nimewawekea hisense 43" 4k zina miezi 6 sasa , sio mbaya ila kwa hizi low budget TVs TCL ana offer vitu vingi extra...
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kikawaida budget hio unapata around inch 50, utapata tu tv Basic ambayo sio Oled ama Panel yoyote nzuri, ukipata Ips kwa hii budget ni vizuri zaidi. Vitu vyengine vya kuangalia ni kama 4k, Hdr/Dolby standards kama Hdr10 na Dolby vision, ukipata HDR10+ pia inakuwa vizuri zaidi. Maduka angalia ambayo ni verified kwa LG kama La METL, ama hata duka kubwa ambalo wanatoa warranty za Maandishi.Mkuu hongera kwa maelezo ya kitaalam,kwa bajeti ya 1.2M naweza kupata Sony au Lg ya mpya aina ipi? na wapi naweza kupata maduka yanayouza hizo brand Og.
No inategemea na category. Cheap version n'a high end versionWengi wenu mnataja makampuni maarufu kwa kukalili tu, mkiulizwa specifications hamjui lolote... Sikuhiz hizi bidhaa 90% zina ubora unao fanana... Nyie endeleeni kukariri brand
LG hana hilo tundu mzeeTafuta 3.5 mm jack kwenye tv,itumie hiyo kuhamisha sauti kwenda kwenye sabufa.kisha tumia waya huu hapa chini,sidhani kama kuna TV inakosa hilo tundu la earphone.View attachment 2498503
Yangu inayo mkuuLG hana hilo tundu mzee