Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Nenda mlimamani city game pale ulizia Hisense sound bar ipo ya bei ya kawaida kama laki 6 na 30 hivi hutajutia iyo sound ya humo ndani ilivyotulia. Usichukue sound bar zisizokuwa na ubora,usisahau kutumia electric cable original kuunganishia vifaa vyako tumia Tronic au yeyote og, ogopa vifaa feki vya bei nafuu katika vifaa Vyako ulivyonunua kwa gharama.
Kazi ipo. Kwa ubora Gani sound bar ya hisense?
 
TV NA SIMU ZINAZOUZWA TANZANIA HAZINA UIMARA HATA KAMA MAJINA YAKE NI BRAND MFANO UKINUNUA SIMU I PHONE MAKUMBUSHO AU MWENGE NA HIYO HIYO UINUNUE DUBAI TOFAUTI KUBWA SANA UIMARA WAKE NA TV NI HIVYO HVYO
 
TV NA SIMU ZINAZOUZWA TANZANIA HAZINA UIMARA HATA KAMA MAJINA YAKE NI BRAND MFANO UKINUNUA SIMU I PHONE MAKUMBUSHO AU MWENGE NA HIYO HIYO UINUNUE DUBAI TOFAUTI KUBWA SANA UIMARA WAKE NA TV NI HIVYO HVYO
Acha porojo wewe..hakuna iPhone zinazotengezwa specifically kwa ajili ya Africa..iPhone iliyopo ulaya ndo hizihizi zilizopo Bongo.
 
Model gani? Bei kiasi gani?
Mkuu nataka nichukue Tv hizi za evvoli maana wanasema ni brand ya italy na natumia sound bar yake naona iko vzr tu so je kwa upande wa tv zake ni nzuri (ubora picha, sauti na uimara) na ni kwl ni brand ya italy au nao ni china tu.
 
Wadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.

Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.

Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunue TV ya kweli nirudi kwenye modern life.

Karibuni kwa ushauri.
Wadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.

Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.

Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunue TV ya kweli nirudi kwenye modern life.

Karibuni kwa ushauri.
Tv zipo hadi 8k
 
Back
Top Bottom