yesamrich
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 2,520
- 4,526
Shukran sanaChukua TCL, Hisense wanatengeza cheap quality.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran sanaChukua TCL, Hisense wanatengeza cheap quality.
Model gani? Bei kiasi gani?Vip evvoli 43" smart 1080i Chief-Mkwawa ,ikoje Kwa experience yako mkuu
HITACHI na TCL tofauti yake nini? Si Muddy na Mwamedi?Chukua HITACHI mkuu hutojuta.
Evvoli 43EV200DA Bei 650Model gani? Bei kiasi gani?
usiondoke subiri finali endelea na mchujo hadi upate iliyochaguo lakoNaendelea kusoma, ila mpaka dakika hii tatu bora ni Sumsung, LG na Hisense.
Inabidi nichaguwe moja kati ya hizo.
Tayari mkuu nimeshachukuwa TCL "50" na gurentee ya mwaka mmoja nilikaa nayo miezi kadhaa ikaanza kuchora mistari nikarudisha nimepewa nyingine mpya inapiga mzigo fresh.usiondoke subiri finali endelea na mchujo hadi upate iliyochaguo lako
Chief-MkwawaEvvoli 43EV200DA Bei 650
Kwa hii bei kwa mchina mkuu naona kama ipo juu, hasa kwa vile ni FHD na haina 4K. Wachina waliochangamka kama TCL na Hisense unapata chini ya laki 6 kwa same specs.Evvoli 43EV200DA Bei 650
Chief nipo arusha,Bei za dasilamu ni tofauti na hukuKwa hii bei kwa mchina mkuu naona kama ipo juu, hasa kwa vile ni FHD na haina 4K. Wachina waliochangamka kama TCL na Hisense unapata chini ya laki 6 kwa same specs.
Uliza TCL wanauza bei gani?Chief nipo arusha,Bei za dasilamu ni tofauti na huku
Bottom line mkuu ni warranty, hakikisha unapewa warranty ya maandishi na wana sehemu ya kutengenezea huko kwenu.Chief nipo arusha,Bei za dasilamu ni tofauti na huku
Nipo ArushaChief nipo arusha,Bei za dasilamu ni tofauti na huku
pia kuna solar max . .. Iko..poaNilichojifunza hapa ni kwamba LG wapo vizuri lakini hawana kelele brand yao inajiuza yenyewe.
Nawashangaa sana watu wanaopuuza ubora wa Hisense au kwa kuwa inatoka china,kwangu mm ukiondoa sharp(mjapan) anayefata kwa ubora ni Hisense tena unapata kwa bei nafuu kabisa sharp Tv zake haziji sana Africa sababu ya bei yake kuwa kubwa ila Hisense kashika sana soko hadi ulaya bidhaa zao ni bora sana.Hapa Bongo kwa Tsh 650,000/= unapata Hisense yenye inchi 43, smart kabisa na ni 4K resolution, umeshamaliza kazi. Sasa wewe huoni hiyo Samsung umenunua kwa laki saba halafu ni 32 inches tu. Ukikutana na muuzaji mwenye tamaa sana hiyo Hisense unapata kwa laki saba. Kupata Samsung au LG yenye ubora sawa na Hisense hii inakupasa uwe na milioni moja kupanda.
Hitachi ni mjapani Tcl ni mchina. Ni vitu viwili tofauti. Ni sawa na Mbingu na nchi.HITACHI na TCL tofauti yake nini? Si Muddy na Mwamedi?