Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

usiondoke subiri finali endelea na mchujo hadi upate iliyochaguo lako
Tayari mkuu nimeshachukuwa TCL "50" na gurentee ya mwaka mmoja nilikaa nayo miezi kadhaa ikaanza kuchora mistari nikarudisha nimepewa nyingine mpya inapiga mzigo fresh.

Hizi Waranty muwe mnazitunza na mnunuwe kweñye maduka ya kueleweka, likitokea tatizo wanakubadirishia unapewa brand new.
 
Chief nipo arusha,Bei za dasilamu ni tofauti na huku
Bottom line mkuu ni warranty, hakikisha unapewa warranty ya maandishi na wana sehemu ya kutengenezea huko kwenu.

Kama mdau mwengine alivyokushauri angalia na wengine wanauzaje huko,
 
Hapa Bongo kwa Tsh 650,000/= unapata Hisense yenye inchi 43, smart kabisa na ni 4K resolution, umeshamaliza kazi. Sasa wewe huoni hiyo Samsung umenunua kwa laki saba halafu ni 32 inches tu. Ukikutana na muuzaji mwenye tamaa sana hiyo Hisense unapata kwa laki saba. Kupata Samsung au LG yenye ubora sawa na Hisense hii inakupasa uwe na milioni moja kupanda.
Nawashangaa sana watu wanaopuuza ubora wa Hisense au kwa kuwa inatoka china,kwangu mm ukiondoa sharp(mjapan) anayefata kwa ubora ni Hisense tena unapata kwa bei nafuu kabisa sharp Tv zake haziji sana Africa sababu ya bei yake kuwa kubwa ila Hisense kashika sana soko hadi ulaya bidhaa zao ni bora sana.
 
Back
Top Bottom