Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hitachi ndio TCL, wewe ndio hujui.Hitachi ni mjapani Tcl ni mchina. Ni vitu viwili tofauti. Ni sawa na Mbingu na nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hitachi ndio TCL, wewe ndio hujui.Hitachi ni mjapani Tcl ni mchina. Ni vitu viwili tofauti. Ni sawa na Mbingu na nchi.
Labda ukija na reference ndiyo tutaamini boss.Hitachi ndio TCL, wewe ndio hujui.
Hata Hitachi inatengenezwa China.Labda ukija na reference ndiyo tutaamini boss.
Lakini hata uki google utaona tcl ni mchina piwa.
Mewe,star x,mo elec,arborder, homebase,goodvision, alitop,sijui na majina gani ,ni watua wanaenda hapo china, wanafyatua kwa majina yao, ila chip na kioo ni kitu kimoja,wanabadili frame tu na majina, kazi kwakoNataka kununua solarmax 43'' je ina tofauti gani ukilinganisha na hizo hisence nk.. msaada tafadhali
Vp kuhusu ubora wao interms ya durabilityMewe,star x,mo elec,arborder, homebase,goodvision, alitop,sijui na majina gani ,ni watua wanaenda hapo china, wanafyatua kwa majina yao, ila chip na kioo ni kitu kimoja,wanabadili frame tu na majina, kazi kwako
Atleast goodvision iko poaVp kuhusu ubora wao interms ya durability
[emoji91]Hakuna TV nzuri kwa bei kitonga kama TCL P635 kwenye soko la bongo.
4K
HDR 10
Dolby Atmos
HDMI 2.1
Nyembamba kama wembe.
Hivi nimetaja OS? Inakuja na Google TV.
Sokoni inatembea 600k - 650k kwa 43"
Kama unahitaji TV nzuri na sio jina ishi humu
Zinaitwa soundbar zipo madukaniHisense zipo vzr sana me ninayo Uled 4k 55 sound yake kaliii kinoma noma
Kuna zile speker nyembamba zinalazwa kwa chini ya tv ivi nitapata wapi kwa anaefaham?
Solar max ipo vizuri sana Ninayo 32 smartpia kuna solar max . .. Iko..poa
Chukua mzigo huoNataka kununua solarmax 43'' je ina tofauti gani ukilinganisha na hizo hisence nk.. msaada tafadhali
Nenda mlimamani city game pale ulizia Hisense sound bar ipo ya bei ya kawaida kama laki 6 na 30 hivi hutajutia iyo sound ya humo ndani ilivyotulia. Usichukue sound bar zisizokuwa na ubora,usisahau kutumia electric cable original kuunganishia vifaa vyako tumia Tronic au yeyote og, ogopa vifaa feki vya bei nafuu katika vifaa Vyako ulivyonunua kwa gharama.Hisense zipo vzr sana me ninayo Uled 4k 55 sound yake kaliii kinoma noma
Kuna zile speker nyembamba zinalazwa kwa chini ya tv ivi nitapata wapi kwa anaefaham?
OkayZinaitwa soundbar zipo madukani
Okay as ante mkuu niko mje ya mkoa war Dar nitamuagiza mtu akanichukulieNenda mlimamani city game pale ulizia Hisense sound bar ipo ya bei ya kawaida kama laki 6 na 30 hivi hutajutia iyo sound ya humo ndani ilivyotulia. Usichukue sound bar zisizokuwa na ubora,usisahau kutumia electric cable original kuunganishia vifaa vyako tumia Tronic au yeyote og, ogopa vifaa feki vya bei nafuu katika vifaa Vyako ulivyonunua kwa gharama.
Hebu simulia kidogo hiyo domestic violence ilikuwaje...hadi kuangusha TV!?Hii TV niliyonayo ni Samsung HD inch 32, nilinunua laki saba wakati ndio zinatoka, imeshawahi kupigwa chini kwenye domestic violence lakini iko vilevile na Ina miaka zaidi ya 10, je Samsung bado watakuwa na bidhaa imara kiasi hiki kwa miaka hii?
Ilikuwaje?Wadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.
Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.
Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunue TV ya kweli nirudi kwenye modern life.
Karibuni kwa ushauri.
Inch 55 ulinunua bei gani?Hisense zipo vzr sana me ninayo Uled 4k 55 sound yake kaliii kinoma noma
Kuna zile speker nyembamba zinalazwa kwa chini ya tv ivi nitapata wapi kwa anaefaham?
Milion 1.5Inch 55 ulinunua bei gani?