tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Kwa nini mkuu, tupatie maelezo ya kina kidogo kabla ya kufanya maamuziSamsung ni brand yangu pendwa ila kwasasa hata Hisense wapo vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mkuu, tupatie maelezo ya kina kidogo kabla ya kufanya maamuziSamsung ni brand yangu pendwa ila kwasasa hata Hisense wapo vizuri.
Jaribu kuformat hizo flash kwenda fat32 zitasomaMkuu naomba kuuliza Kila nikichomeka flash ya 64 Gb au 2TB kwenye tv yangu smart inch 32 Huwa haisom tatzo linaweza kuwa nn na hata ikisoma hai play mafaili nifanyeje?
Shukran chieeef thanksJaribu kuformat hizo flash kwenda fat32 zitasoma
😅😅Wadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.
Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.
Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunue TV ya kweli nirudi kwenye modern life.
Karibuni kwa ushauri.
Jaribu kuformat hizo flash kwenda fat32 zitasoma
Model Gani mkuu?View attachment 2857676wataalam vipi tv hiyo hapo kwa 2.5M ni reasonable?.inch 65
Ni katika tv nzuri sana mkuu, ni all arounder matumizi mengi itafanya kwa ufanisi unaweza isoma zaidi hapa65QN85A Samsung Neo QLED 4K Smart TV. Inasomeka hivi chief na inatokea china?
Shukrani sana Chief kwa Mwongozo.Ni katika tv nzuri sana mkuu, ni all arounder matumizi mengi itafanya kwa ufanisi unaweza isoma zaidi hapa
![]()
Samsung QN85A QLED Review (QN55QN85AAFXZA, QN65QN85AAFXZA, QN75QN85AAFXZA, QN85QN85AAFXZA)
The Samsung QN85A QLED is part of Samsung's Neo QLED series of TVs, which are a step up from regular QLEDs because they use Mini LED backlighting. The 55, 65, an...www.rtings.com
Bei pia sio mbaya,
Vipi uimara mkuu,na je nawezaje kujua kama ni OG?Hakuna TV nzuri kwa bei kitonga kama TCL P635 kwenye soko la bongo.
4K
HDR 10
Dolby Atmos
HDMI 2.1
Nyembamba kama wembe.
Hivi nimetaja OS? Inakuja na Google TV.
Sokoni inatembea 600k - 650k kwa 43"
Kama unahitaji TV nzuri na sio jina ishi humu
ni Kwanini watu wengi AC ni hizi hizi za kila siku..Kwa Hali zetu za maisha walau ubora Kwa pesa chache
tv Hisense na Samsung.
fridge homebase , Hisense
AC gree, sanyo, midea, Samsung.
simu Infinix
pasi Phillips.
home theater Sony.
Mbona 5000 kwa masaa 15 ni humo humo watts 1000 kwa saa?ni Kwanini watu wengi AC ni hizi hizi za kila siku..
mmeshawahi jaribu AC ya DAIKIN made in india?? Mkaona namna ilivyo.
AC sifa kuu iwe ENERGY SAVER binafsi mpaka sasa sijaona AC ya kuikuta DAIKIN kwa TANZANIA yetu hiii.
Nimetumia AC nyingi ila zote kama Mfuko wako hauko vizuri utalaumu sana Umeme kuwahi kuisha.
DAIKINI AC ukweli naingurumisha sio chini ya masaa 15 kila siku umeme wake hauzidi/Haufiki 5,000.
na hiii ni ile LARGE... Jambo ambalo sijawahi kuliona kwa AC zingine small size za kampuni zingine common.
kwa uzoefu wangu mkuu wa LG,HISENCE na BRUHM za small bila 10,000 kwa siku sitoboi ofisini.Mbona 5000 kwa masaa 15 ni humo humo watts 1000 kwa saa?
Hii ac ina inverter? Naona km umeme wa elfu 5 naweza kumudu. Nami nikichukulie. Unaweza nipa specification zakekwa uzoefu wangu mkuu wa LG,HISENCE na BRUHM za small bila 10,000 kwa siku sitoboi ofisini.
kumbuka hii ni LARGE na naifungulia bila kuizima tangu ofisi inafunguliwa saa 1 asubuhi mpka 6 usiku.
Na nikiweka umeme wa 5000 kuna wakati naacha unit hata 4-7 kila siku nikiwa naondoka.
Binafsi hii kwangu inani save labda unifungue macho zaidi kama kuna namna ingine naweza save umeme na AC ikaendelea waka muda wote.
Elimu Tafadhali.
ina inverter, ingia site yao utaona hizo AC na sifa zao mkuuHii ac ina inverter? Naona km umeme wa elfu 5 naweza kumudu. Nami nikichukulie. Unaweza nipa specification zake
Chief em nishauri kidogo, tcl inch 65 vs hisense inch 58 nichukue ipi? Mana kuna sehemu nlisoma kuwa hisense baada ya muda inapausha picha.Mbona 5000 kwa masaa 15 ni humo humo watts 1000 kwa saa?
Inategemea na model husika mkuu, ungekua na exact models tungefanya comparisons.Chief em nishauri kidogo, tcl inch 65 vs hisense inch 58 nichukue ipi? Mana kuna sehemu nlisoma kuwa hisense baada ya muda inapausha picha.
Tcl 65p635Inategemea na model husika mkuu, ungekua na exact models tungefanya comparisons.
Chukua TCL, Hisense wanatengeza cheap quality.Chief em nishauri kidogo, tcl inch 65 vs hisense inch 58 nichukue ipi? Mana kuna sehemu nlisoma kuwa hisense baada ya muda inapausha picha.