Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua natafuta hii comment ya mtu wa SONY naona watu n samsung,lg,hisenceTop brand ni SONY nlinunua android 4k TV 55 ni 1.8m lakini utapata value for money.
TV n za watu wa uchumi wa kati bana, Wanaojiweza wametuzidi taste tuNi bajeti yako tu mkuu
Wale wachovu wenzangu wanakwenda na Boss, StarX
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu wa Tecno, Itel, infinix
Wale wa uchumi wa kati wanakwenda na Hisense, TLC
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Oppo Xiaomi nk
Wale wanaojiweza wanakwenda na Sony LG Samsung Apple Tv
Hizi ni sawa na watumiaji wa simu za Samsung iPhone nk
ni ukweli ulio wazi TCL ni bora kuliko HisenceYani mimi uweke hisense na TCL apo nachukua TCL
Mkuu tema mate chini,Samsung na LG fake ni nyingi sanaaaaaSamsung zote ni OG mkuu, hao wanunua Sinsung sio Samsung.
Pili wananunua tv kwa fundi tv sio Dukani. Uliwahi kuona wapi Samsung tv inauzwa laki 2 ama laki 3. Wanapenda vya dezo halfu wanakuja kulaumu brand badala ya kujilaumu wenyewe.
Hii TV ya watu wenye hela mkuu, Hdr movies, Gaming na Comtent za Quality ya juu ipo vyema, ila hizi TV zetu za kina Azam Quality itakua ya kawaidana
Natumia DstvHii TV ya watu wenye hela mkuu, Hdr movies, Gaming na Comtent za Quality ya juu ipo vyema, ila hizi TV zetu za kina Azam Quality itakua ya kawaida
Nlinunua Netherland hii TV mpaka leo haina inachosumbua na ubora ni mzuri kwa sauti na picha.
View attachment 2665538View attachment 2665538
Hii model ya zamani ina miaka zaidi ya 14 sasa. Philips walishauza jina kwa China CorpZile Philips za kichina? Zipo za Indonesia bado bei yake imesimama. Mimi nina Philips OG TV
Dstv kwa hio TV hakikisha una decoder ya HD utaenjoy na kama una internet ya Maana weka Dstv now.Natumia Dstv
Mi nina miaka nayo 12 sasaHii model ya zamani ina miaka zaidi ya 14 sasa. Philips walishauza jina kwa China Corp
Unasemea ile Dstv explora ndo HD zaidi?? Sababu nina dekoda hii ya kawaida ila ni HD. Nifafanulie hiyo HD ya dstv ikoje nyingineDstv kwa hio TV hakikisha una decoder ya HD utaenjoy na kama una internet ya Maana weka Dstv now.
Safi sanaOne of the best TV. hazina jina Tanzania.
Kwa mwenye akili ataesoma hiii line atajua ni TV gani anunue aokoe pesa yake na aachane na mikumbo,we are African otherwise mtu uagize tofaut na hapo wote n wale wale, Guys save your money.Na ni kweli vitu vingi ambavyo vimetengenezwa specific kwa ajili ya Africa havina ubora.
Dstv now ni internet mkuu, utaipata store ya smart tv yako, unatengeneza Account unatumia namba za card yako. Unaweza tumia vifaa 4 tofauti.Unasemea ile Dstv explora ndo HD zaidi?? Sababu nina dekoda hii ya kawaida ila ni HD. Nifafanulie hiyo HD ya dstv ikoje nyingine
Naona wengi ni Gen-x.Wadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo.
Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana.
Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunue TV ya kweli nirudi kwenye modern life.
Karibuni kwa ushauri.
Salute kwako mkuu.umechambua vzr sana.huyo jamaa ameleta habari za zamani.mimi tv yangu hii tcl ni chromecast builtin haina haja ya kutafuta device yaan nikiwasha tu simu yangu inaleta notification ya kucast kwa tv naiona tcl inadai cast so choice ni yangu nikubali au ni deal na tv tu.android ndio mpango mzima kwa sasa coz ni opensource nimeinstall apk nyingi ni mimi na bundle langu tuHii ni Ya zamani mkuu, Enzi hizo Chromecast haitumii Android, wameshahama mda sana kuja Android.
Na pia Chromecast ilikuwa sio nzuri kama ilivyosifiwa kwenye hii article, hasa vile ulikuwa unapata Fire stick ama Onn devices kwa $15 with better specs.
Chromecast za sasa zinatumia Android same kwa os za tv ambazo zimeandikwa Google TV
Mkuu Hii ni Tsh ngapi na ulichukua Wapi mbona kama inatufaa sisi makabwela waogopa bei za umeme ina 57watts Seriously inanifaa sanaMkuu nataka kujilipuwa hapa, hebu weka neno kuhusu hii kitu.
Internet ninayo na hiyo TCLMkuu uzuri wa TCL ni kwamba wana Android TV, compare na Hisense LG na Samsung ambao wanatumia os zilizofungwa. Kama ni mpenzi wa Youtube, Netflix, movies, series, kuangalia mpira etc uta enjoy, uwe tu na Internet ya uhakika.