Ni starehe ipi ambayo huwezi kuiacha, hata kama ushauriwe kiasi gani?

Ni starehe ipi ambayo huwezi kuiacha, hata kama ushauriwe kiasi gani?

We Ni muongo ufanye vitu hvyo kwa wakt mmoja mara movie ,kula,kusoma viatbu,kucheza game mbna muongo mm sipendi vijana waongo waongo shenzi san
Hata Mimi nimemtafakari sana[emoji23]

Ukimuuliza hobby yake sijui itakuwa reading books, Eating, watching Movies au Playing games au zote

So Amazing....!

Sent from my Samsung Galaxy A13
 
Hiyo sio starehe..ni Basic needs.
Kuna tofauti ya Basic needs na Basic wants..
Starehe ni basic want.
View attachment 2490315
Mkuu mbona chakula ni basic need na ni starehe vile vile

By the way sex siyo basic need

Tunatambua basic needs ni vile vitu binadamu anakufa endapo akivikosa kabisa
 
Salaam wakuu, unajua katika maisha haya. Kuna baadhi yetu tumekuwa tukifanya baadhi ya vitu ambapo vimekuwa vikitufurahisha.
kiasi kwamba imekuwa ngumu kuacha, hata Kama tushauriwe kwa ukubwa gani, au na mtu yoyote.

kwa upande wangu Kuna vitu vinne, naona kabisa kuacha ni mpaka niingie kaburuni.

👉Misosi- najua mtasema kila mtu anakula, ila kwa upande wangu bhana naona imezidi.
Maana nimeshaifanya kesi, kila nikikutana nacho ni mpaka mmoja wetu anyooshe mikono juu (hapa adui yangu nimemzidi aisee) napakia kiukweli, iwe ugali,wali,ndizi na hata iwe kachumbariView attachment 2490252
View attachment 2490253

Kucheza magame, wakati nakua hili swala lilinafanya nitandikwe Sana na wazazi.
Kwani ilikua huniambii kitu linapokuja swala la kucheza game-nimetumia gameboy, PlayStation.
Mpaka leo imepelekea kuwa Kama moja ya mila na tamaduni zangu, siwezi kukaa bila kucheza magame iwe kwenye pc, PlayStation na hata kwenye simu.
Nimecheza game Kama 👉 asphalt series zote.
👉Pes hadi ya mwaka huu.
👉 Brother in arms 2&3
👉Call of duty.
👉Motorcombat iwe la porin au jeshi.
👉Fifa

Kusoma vitabu, huu ni mmoja ya utaratibu wangu unaonivutia sana.
I didn't have a great childhood life. hivyo niliamua kufunga ndoa na vitabu, nimesoma vingi Sana,ambavyo vilinisaidia kujifunza na kuelimika Sana.
Baadhi ya vitabu nilivyosoma katika Safari yangu hii👉magic of thinking big
👉The 5am club
👉The godfather
👉 Retire young, retire rich.
👉The billionaire of tommorow.
👉What the future.
👉Alex rider
👉 Intelligent investor.
👉Elon musk
👉 Business in Africa.
Hiyo ni list ya baadhi tu, so unaeza tafuta ukajifunza na kufurahia pia.

Kutazama movie,series na documentary, Mimi ni jobless wa kimataifa.
hii imekuwa fursa kubwa kwangu, kwani imenipa nafasi ya kufatilia series na movie nyingi sana.
ziwe crime,horror,drama, investigation, na hata animation. List ya series nilizotazama👉money haseist
👉24 hours.
👉Prison break
👉 Vikings
👉Dracula
👉Jumong
👉Iris
👉 Harry Potter
👉Lord of the rings.(smigo)

Acha niendelee kufurahia uwepo wangu duniani.

wametokea washauri wengi "eti punguza", ninachowajibu ni kwamba wao ni wageni kwenye maisha yangu hivyo wanaeza kwenda..

Ni vitu gani imekuwa ngumu kwako kutengana navyo??
Yaani hapa ni kubeti na nyeto
 
Mi horrors movies na act movies hunitoi

* The pale blue Eye -2022 (I'm watching now)
[*]Hillbender - 2022
[*]Sissy - 2022
[*]You won't be alone - 2022
[/LIST]
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Kuongea mwenyew dalili ya ugonjwa wa akili sio?
Nani kakwambia?
Kama unaweza kuongea mwenyewe Mambo yako na ukayapatia ufumbuzi jua huo sio ugonjwa bali ni vile sipendi kuongea ongea na watu kila jambo na pia mm sio mzuri wa kuanzisha nada zaidi ya kuchangia tu tena kidogo
 
mimi hata sielewi najiona niponipo tu..

japo nahisi napenda kazi na hela.
 
Nani kakwambia?
Kama unaweza kuongea mwenyewe Mambo yako na ukayapatia ufumbuzi jua huo sio ugonjwa bali ni vile sipendi kuongea ongea na watu kila jambo na pia mm sio mzuri wa kuanzisha nada zaidi ya kuchangia tu tena kidogo

Oh kumbe nimekuelewa mremboo
 
Salaam wakuu, unajua katika maisha haya. Kuna baadhi yetu tumekuwa tukifanya baadhi ya vitu ambapo vimekuwa vikitufurahisha.
kiasi kwamba imekuwa ngumu kuacha, hata Kama tushauriwe kwa ukubwa gani, au na mtu yoyote.

kwa upande wangu Kuna vitu vinne, naona kabisa kuacha ni mpaka niingie kaburuni.

👉Misosi- najua mtasema kila mtu anakula, ila kwa upande wangu bhana naona imezidi.
Maana nimeshaifanya kesi, kila nikikutana nacho ni mpaka mmoja wetu anyooshe mikono juu (hapa adui yangu nimemzidi aisee) napakia kiukweli, iwe ugali,wali,ndizi na hata iwe kachumbariView attachment 2490252
View attachment 2490253

Kucheza magame, wakati nakua hili swala lilinafanya nitandikwe Sana na wazazi.
Kwani ilikua huniambii kitu linapokuja swala la kucheza game-nimetumia gameboy, PlayStation.
Mpaka leo imepelekea kuwa Kama moja ya mila na tamaduni zangu, siwezi kukaa bila kucheza magame iwe kwenye pc, PlayStation na hata kwenye simu.
Nimecheza game Kama 👉 asphalt series zote.
👉Pes hadi ya mwaka huu.
👉 Brother in arms 2&3
👉Call of duty.
👉Motorcombat iwe la porin au jeshi.
👉Fifa

Kusoma vitabu, huu ni mmoja ya utaratibu wangu unaonivutia sana.
I didn't have a great childhood life. hivyo niliamua kufunga ndoa na vitabu, nimesoma vingi Sana,ambavyo vilinisaidia kujifunza na kuelimika Sana.
Baadhi ya vitabu nilivyosoma katika Safari yangu hii👉magic of thinking big
👉The 5am club
👉The godfather
👉 Retire young, retire rich.
👉The billionaire of tommorow.
👉What the future.
👉Alex rider
👉 Intelligent investor.
👉Elon musk
👉 Business in Africa.
Hiyo ni list ya baadhi tu, so unaeza tafuta ukajifunza na kufurahia pia.

Kutazama movie,series na documentary, Mimi ni jobless wa kimataifa.
hii imekuwa fursa kubwa kwangu, kwani imenipa nafasi ya kufatilia series na movie nyingi sana.
ziwe crime,horror,drama, investigation, na hata animation. List ya series nilizotazama👉money haseist
👉24 hours.
👉Prison break
👉 Vikings
👉Dracula
👉Jumong
👉Iris
👉 Harry Potter
👉Lord of the rings.(smigo)

Acha niendelee kufurahia uwepo wangu duniani.

wametokea washauri wengi "eti punguza", ninachowajibu ni kwamba wao ni wageni kwenye maisha yangu hivyo wanaeza kwenda..

Ni vitu gani imekuwa ngumu kwako kutengana navyo??
Kufanya mapenzi - hio siwezi iacha haya iweje na miaka yote ya kufanya hayo mapenzi nimegundua mitindo mbali mbali, kusema kweli hii starehe inanipa raha sana

Kucheza video games- hapa sitaki utani kama kukesha nitakesha mpaka asubuhi sitaki kufatiliana kwenye hili

Kuna shemeji yenu mmoja alijifanya kunikataza kucheza games nikwambia aache ujinga, games siachi kama anataka aniache yeye, nilimuona hana akili na nikapunguza kumpenda from that day
 
Kufanya mapenzi - hio siwezi iacha haya iweje na miaka yote ya kufanya hayo mapenzi nimegundua mitindo mbali mbali, kusema kweli hii starehe inanipa raha sana

Kucheza video games- hapa sitaki utani kama kukesha nitakesha mpaka asubuhi sitaki kufatiliana kwenye hili

Kuna shemeji yenu mmoja alijifanya kunikataza kucheza games nikwambia aache ujinga, games siachi kama anataka aniache yeye, nilimuona hana akili na nikapunguza kumpenda from that day
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom