Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Cole,, za siku! Nimefurahi kukusomaDaaah
Basic needNiambie unataka nini Kapeace!!!😘
Dah! Mpaka uzee huu! Sijui nani atakae nishauri niache kuangalia cartoon! Aisee ikitokea mtu kashika simu yangu akaingia gallary bahati mbaya hua najisikia aibu na kuzuga, watoto wanapenda kuchezea simu yangu sasa nimewawekea dawa zao[emoji23][emoji23]Salaam wakuu, unajua katika maisha haya. Kuna baadhi yetu tumekuwa tukifanya baadhi ya vitu ambapo vimekuwa vikitufurahisha.
kiasi kwamba imekuwa ngumu kuacha, hata Kama tushauriwe kwa ukubwa gani, au na mtu yoyote.
kwa upande wangu Kuna vitu vinne, naona kabisa kuacha ni mpaka niingie kaburuni.
[emoji117]Misosi- najua mtasema kila mtu anakula, ila kwa upande wangu bhana naona imezidi.
Maana nimeshaifanya kesi, kila nikikutana nacho ni mpaka mmoja wetu anyooshe mikono juu (hapa adui yangu nimemzidi aisee) napakia kiukweli, iwe ugali,wali,ndizi na hata iwe kachumbariView attachment 2490252
View attachment 2490253
Kucheza magame, wakati nakua hili swala lilinafanya nitandikwe Sana na wazazi.
Kwani ilikua huniambii kitu linapokuja swala la kucheza game-nimetumia gameboy, PlayStation.
Mpaka leo imepelekea kuwa Kama moja ya mila na tamaduni zangu, siwezi kukaa bila kucheza magame iwe kwenye pc, PlayStation na hata kwenye simu.
Nimecheza game Kama [emoji117] asphalt series zote.
[emoji117]Pes hadi ya mwaka huu.
[emoji117] Brother in arms 2&3
[emoji117]Call of duty.
[emoji117]Motorcombat iwe la porin au jeshi.
[emoji117]Fifa
Kusoma vitabu, huu ni mmoja ya utaratibu wangu unaonivutia sana.
I didn't have a great childhood life. hivyo niliamua kufunga ndoa na vitabu, nimesoma vingi Sana,ambavyo vilinisaidia kujifunza na kuelimika Sana.
Baadhi ya vitabu nilivyosoma katika Safari yangu hii[emoji117]magic of thinking big
[emoji117]The 5am club
[emoji117]The godfather
[emoji117] Retire young, retire rich.
[emoji117]The billionaire of tommorow.
[emoji117]What the future.
[emoji117]Alex rider
[emoji117] Intelligent investor.
[emoji117]Elon musk
[emoji117] Business in Africa.
Hiyo ni list ya baadhi tu, so unaeza tafuta ukajifunza na kufurahia pia.
Kutazama movie,series na documentary, Mimi ni jobless wa kimataifa.
hii imekuwa fursa kubwa kwangu, kwani imenipa nafasi ya kufatilia series na movie nyingi sana.
ziwe crime,horror,drama, investigation, na hata animation. List ya series nilizotazama[emoji117]money haseist
[emoji117]24 hours.
[emoji117]Prison break
[emoji117] Vikings
[emoji117]Dracula
[emoji117]Jumong
[emoji117]Iris
[emoji117] Harry Potter
[emoji117]Lord of the rings.(smigo)
Acha niendelee kufurahia uwepo wangu duniani.
wametokea washauri wengi "eti punguza", ninachowajibu ni kwamba wao ni wageni kwenye maisha yangu hivyo wanaeza kwenda..
Ni vitu gani imekuwa ngumu kwako kutengana navyo??
Fresh ntajie wapi naweza lipata?Link Sina labda nikutajie
Allow me to offer them to you 🙈Basic need
Leo sichokozeki,, 😂😂😂Allow me to offer them to you 🙈
[Leo nipo nawe nikuchokoze had ukome]
Oy ivi wavuvi inafungwa kweli 23/01 au kiki?Kutoa out na kula mziki wavuvi kila weekend siwezi acha wavuvi kemp for life [emoji9][emoji9]
Wakati nashuka page hiyo pic ya pili nidhan watu wako kwenye bwawa wanaogelea kumbe pilipili sijui vitu gan duh [emoji482]
Siki ile umenizingua yaani nilikua nakuchora wewe...Sasa utanikoma leoLeo sichokozeki,, 😂😂😂
Salaam wakuu, unajua katika maisha haya. Kuna baadhi yetu tumekuwa tukifanya baadhi ya vitu ambapo vimekuwa vikitufurahisha.
kiasi kwamba imekuwa ngumu kuacha, hata Kama tushauriwe kwa ukubwa gani, au na mtu yoyote.
kwa upande wangu Kuna vitu vinne, naona kabisa kuacha ni mpaka niingie kaburuni.
[emoji117]Misosi- najua mtasema kila mtu anakula, ila kwa upande wangu bhana naona imezidi.
Maana nimeshaifanya kesi, kila nikikutana nacho ni mpaka mmoja wetu anyooshe mikono juu (hapa adui yangu nimemzidi aisee) napakia kiukweli, iwe ugali,wali,ndizi na hata iwe kachumbariView attachment 2490252
View attachment 2490253
Kucheza magame, wakati nakua hili swala lilinafanya nitandikwe Sana na wazazi.
Kwani ilikua huniambii kitu linapokuja swala la kucheza game-nimetumia gameboy, PlayStation.
Mpaka leo imepelekea kuwa Kama moja ya mila na tamaduni zangu, siwezi kukaa bila kucheza magame iwe kwenye pc, PlayStation na hata kwenye simu.
Nimecheza game Kama [emoji117] asphalt series zote.
[emoji117]Pes hadi ya mwaka huu.
[emoji117] Brother in arms 2&3
[emoji117]Call of duty.
[emoji117]Motorcombat iwe la porin au jeshi.
[emoji117]Fifa
Kusoma vitabu, huu ni mmoja ya utaratibu wangu unaonivutia sana.
I didn't have a great childhood life. hivyo niliamua kufunga ndoa na vitabu, nimesoma vingi Sana,ambavyo vilinisaidia kujifunza na kuelimika Sana.
Baadhi ya vitabu nilivyosoma katika Safari yangu hii[emoji117]magic of thinking big
[emoji117]The 5am club
[emoji117]The godfather
[emoji117] Retire young, retire rich.
[emoji117]The billionaire of tommorow.
[emoji117]What the future.
[emoji117]Alex rider
[emoji117] Intelligent investor.
[emoji117]Elon musk
[emoji117] Business in Africa.
Hiyo ni list ya baadhi tu, so unaeza tafuta ukajifunza na kufurahia pia.
Kutazama movie,series na documentary, Mimi ni jobless wa kimataifa.
hii imekuwa fursa kubwa kwangu, kwani imenipa nafasi ya kufatilia series na movie nyingi sana.
ziwe crime,horror,drama, investigation, na hata animation. List ya series nilizotazama[emoji117]money haseist
[emoji117]24 hours.
[emoji117]Prison break
[emoji117] Vikings
[emoji117]Dracula
[emoji117]Jumong
[emoji117]Iris
[emoji117] Harry Potter
[emoji117]Lord of the rings.(smigo)
Acha niendelee kufurahia uwepo wangu duniani.
wametokea washauri wengi "eti punguza", ninachowajibu ni kwamba wao ni wageni kwenye maisha yangu hivyo wanaeza kwenda..
Ni vitu gani imekuwa ngumu kwako kutengana navyo??
😂😂😂Hebu acha basi nitakulaaniSiki ile umenizingua yaani nilikua nakuchora wewe...Sasa utanikoma leo
Kulaaniwa na pisi kali ni zali😘😂😂😂Hebu acha basi nitakulaani
Aliyekwambia mi ni pisi kali amekudanganya parefuKulaaniwa na pisi kali ni zali😘
Sema attachment za sex ndio zinafanya watu warudi nyuma na kuidharau , other wise ilitakiwa iwe up there on top !Sex is overrated, Kuna starehe nyingine zinazonifanya ni enjoy