Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #281
Nipo chini ya bahari, I mean no malice to nobodyNipo powa kabisa full..
Tanga moja hiyo au naongopa..
Wee jini mpaka ukae chini ya bahari π€π€π€π€Nipo chini ya bahari, I mean no malice to nobody
Hizo sera zenu mtakula ban sasa hivi mi sipo π€π€I mean no malice to nobody, Sera zetu π Panga mkononi
πRoho begani
Starehe yako ipi hiyo au tayari ushaisema tuijue... Ahahaha usiniambie kama ni ishu ya glory ππππUnajuaπππ
Mkuu sitarajii Kama nitakuja kula ban, I mean no malice to nobody.Hizo sera zenu mtakula ban sasa hivi mi sipo π€π€
Kama unaijua itaje, itajeπππUnajuaπππ
Eti kukeshaaaStarehe yako ipi hiyo au tayari ushaisema tuijue... Ahahaha usiniambie kama ni ishu ya glory ππππ
Utakula tuu wee endelea kutisha raia huku ndani...Mkuu sitarajii Kama nitakuja kula ban, I mean no malice to nobody.
Sera zetu π Panga mkononi
π Roho begani
Umemjibia sio ahahahaah au ndo mlivo ambizana ππEti kukeshaaa
π€£π€£π€£π²Watu km wewe hamnogi
Sasa hapo ushua gani mkuu?[emoji3]Ushua mwingi sio...
Ci unaweza kutazama hata video warumiSiwezi kuacha kwenda washroom(long call) huku nikiendelea kuperuzi kwenye simu yangu, ni starehe nzuri mno.
[emoji3060][emoji3060]Basi wote wasopenda kulala wangekuwa mabilionea!
intelligent hujasema namna ya kumtagi mtuI mean no malice to nobody, kwani kila mtu lazima apende hizo zenu ili aonekane amekamilika[emoji848][emoji848]
Hapana mkuu Mambo ya kutumia tafsida ndiyo yametuletea majambaz nchiniHahaa tumia tafsida basi[emoji3]
kweliHapana mkuu Mambo ya kutumia tafsida ndiyo yametuletea majambaz nchini
Badala ya kuita jambaz wanaita fisadi