Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #281
Nipo chini ya bahari, I mean no malice to nobodyNipo powa kabisa full..
Tanga moja hiyo au naongopa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo chini ya bahari, I mean no malice to nobodyNipo powa kabisa full..
Tanga moja hiyo au naongopa..
Wee jini mpaka ukae chini ya bahari 🤓🤓🤓🤓Nipo chini ya bahari, I mean no malice to nobody
Hizo sera zenu mtakula ban sasa hivi mi sipo 🤓🤓I mean no malice to nobody, Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉Roho begani
Starehe yako ipi hiyo au tayari ushaisema tuijue... Ahahaha usiniambie kama ni ishu ya glory 🙌🙌🙌🙌Unajua😂😂😂
Mkuu sitarajii Kama nitakuja kula ban, I mean no malice to nobody.Hizo sera zenu mtakula ban sasa hivi mi sipo 🤓🤓
Kama unaijua itaje, itaje😂😆😁Unajua😂😂😂
Eti kukeshaaaStarehe yako ipi hiyo au tayari ushaisema tuijue... Ahahaha usiniambie kama ni ishu ya glory 🙌🙌🙌🙌
Utakula tuu wee endelea kutisha raia huku ndani...Mkuu sitarajii Kama nitakuja kula ban, I mean no malice to nobody.
Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉 Roho begani
Umemjibia sio ahahahaah au ndo mlivo ambizana 🙌🙌Eti kukeshaaa
🤣🤣🤣😲Watu km wewe hamnogi
Sasa hapo ushua gani mkuu?[emoji3]Ushua mwingi sio...
Ci unaweza kutazama hata video warumiSiwezi kuacha kwenda washroom(long call) huku nikiendelea kuperuzi kwenye simu yangu, ni starehe nzuri mno.
[emoji3060][emoji3060]Basi wote wasopenda kulala wangekuwa mabilionea!
intelligent hujasema namna ya kumtagi mtuI mean no malice to nobody, kwani kila mtu lazima apende hizo zenu ili aonekane amekamilika[emoji848][emoji848]
Hapana mkuu Mambo ya kutumia tafsida ndiyo yametuletea majambaz nchiniHahaa tumia tafsida basi[emoji3]
kweliHapana mkuu Mambo ya kutumia tafsida ndiyo yametuletea majambaz nchini
Badala ya kuita jambaz wanaita fisadi