Ni starehe ipi ambayo huwezi kuiacha, hata kama ushauriwe kiasi gani?

Ni starehe ipi ambayo huwezi kuiacha, hata kama ushauriwe kiasi gani?

Mkuu mbona chakula ni basic need na ni starehe vile vile

By the way sex siyo basic need
Najua sex haipo kwenye basic needs....ila nimeiweka coz mtu ukikosa sex Psychological unakua na shida pia physically bado utapata shida hasa Joints na kiuno
Tunatambua basic needs ni vile vitu binadamu anakufa endapo akivikosa kabisa
Definition ya Basic needs haipo Strictly for those things ambavyo binaadamu akivikosa anafariki.
I don't know kama binaadamu akikosa nguo na makazi anakufa.
Ukichukulia binaadamu wa mwanzo kabisa walikua hawana makazi wala nguo na walidumu
 
Najua sex haipo kwenye basic needs....ila nimeiweka coz mtu ukikosa sex Psychological unakua na shida pia physically bado utapata shida hasa Joints na kiuno

Definition ya Basic needs haipo Strictly for those things ambavyo binaadamu akivikosa anafariki.
I don't know kama binaadamu akikosa nguo na makazi anakufa.
Ukichukulia binaadamu wa mwanzo kabisa walikua hawana makazi wala nguo na walidumu
Oohh kumbe wewe ndiyo umeiweka basi sawa
 
Dah! Mpaka uzee huu! Sijui nani atakae nishauri niache kuangalia cartoon! Aisee ikitokea mtu kashika simu yangu akaingia gallary bahati mbaya hua najisikia aibu na kuzuga, watoto wanapenda kuchezea simu yangu sasa nimewawekea dawa zao[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mm pia hauko peke yako
 
Mimi naenda sana chspati kwa mchuzi wa nyama na chai ya maziwa hapo nitakula mpaka kucheee
 
Kuishi na CCM na kuipigania CCM hadi kufa, CCM ndio kila kitu kwangu na furaha yangu kuu dunia hii, naipenda Daima na milele CCM
 
kutafta pesa yaani pesa inapoingia mkononi mwangu na pia ninampomlipa mtu yoyote huwa nafurahi sana
 
Ni starehe ipi ambayo huwezi kuiacha, hata kama ushauriwe kiasi gani?

Kula kula Mimi napenda kula namaanisha kula kila wakati, na nikifariki naomba mnizike na sufuria la pilau kuku na mbuzi nitakula uko nnakokwenda naweza nikakuta hawajapika nikafa na njaa

Nawasilisha,
 
Back
Top Bottom