Ni Style gani bila kuifanya wakati wa tendo unahisi halijakamilika?

Ni Style gani bila kuifanya wakati wa tendo unahisi halijakamilika?

Status
Not open for further replies.
kuna ile style inaitwa "uhuru uliopitiliza wa mitandao ya kijamii", hatari sana hiyo.

mimi bila kumfanyia hiyo style mwanamke wangu, nakuwa bado sijaridhirika.
 
hili bila shaka litakuwa ni toto la kimanga, kwa sauti ya mwanasiasa wa zanzibar Baraka Shamte.
JamiiForums287959325.jpg
 
Wengi watatudangya style za kila namna hapa lakini ukweli wa mambo style pekee itumikayo ni kifo cha mende. Na hii sio kwa kupenda, bali ni kwa muafaka wa uhalisia wa nguvu za wengi.

Asilimia kubwa ni wale wakupepea, kimoko chali. Sasa uanze kutafuta style unakuta wazungu washakuja, unasikia kidume kinasingizia ngiri au misuli.

Kwa hitimisho, kifo cha mende ndio mlezi wa wana[emoji1787][emoji1787]
Nilitegemea kukutana na koment kama hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom