Ni suala la muda tu baadhi ya walioitwa Wabunge wa CHADEMA Kuanza kugeukana na kusema ukweli baada ya kufukuzwa

Ni suala la muda tu baadhi ya walioitwa Wabunge wa CHADEMA Kuanza kugeukana na kusema ukweli baada ya kufukuzwa

Watu kumi na tisa ni wengi mno kwa wote kushikamana na kuwa wamoja baada ya mambo kuharibika, hivyo wako baadhi yao wataonza kutoa siri na hata wengine kuomba radhi unless wataenda mahakamani.

Sakata hili ndio kwanza linaanza na tujiandae kusikia mengi yakiwemo ya kushangaza.

Tusubiri.
Naunga mkono hoja, wengine wenu tayari tumeisha anza kusikia sauti

P
 
Watu kumi na tisa ni wengi mno kwa wote kushikamana na kuwa wamoja baada ya mambo kuharibika, hivyo wako baadhi yao wataonza kutoa siri na hata wengine kuomba radhi unless wataenda mahakamani.

Sakata hili ndio kwanza linaanza na tujiandae kusikia mengi yakiwemo ya kushangaza.

Tusubiri.
Naunga mkono hoja, wengine wenu tayari tumeisha anza kusikia sauti Voices From Within: Unaweza usiamini! Aliyetoa A Go ahead kwa Mdee na Wenzake ni Kigogo wa Chadema!. Alikuwepo Ukumbini na Vikaoni! Je, ni nani?

P
 
Watu kumi na tisa ni wengi mno kwa wote kushikamana na kuwa wamoja baada ya mambo kuharibika, hivyo wako baadhi yao wataonza kutoa siri na hata wengine kuomba radhi unless wataenda mahakamani.

Sakata hili ndio kwanza linaanza na tujiandae kusikia mengi yakiwemo ya kushangaza.

Tusubiri.
Nusrat Hanje..... Wakati utasema..!
 
Sijawahi kumwamini mbowe hata siku moja ni dingi fulan mjanja mjanja alafu ni born town ,hii michezo kuielewa unapaswa uwe na jicho Kali Sana.

Sebene hili dj ni mbowe na chadema wanalicheza bila kujua ukweli,ila naamin ujanja una mwisho na namtabilia huyu faza atakuja umbuka vibaya mno siku za mbelen maana drama zote hizi creator ni yeye ila wajinga wanamwamin sana.

Mdee na wenzake siku wakijaamua kutapika nyongo mbowe atakua uchi Sana ,maana wale wadada sio wajinga pia hawana jeur ya kumsalit mbowe ,so elewen kila kitu wapo pamoja ,sarakas zitapigwa Sana had wajinga waje kupata akili wenzenu ndo washamaliza mission yao.
 
Back
Top Bottom