GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Duuh! Leo utasema yote na mchepuko wako utajulikana!Pini aliyopigwa na Mganga Hatari wa Simba SC katika ile Mechi ya Kariakoo Derby ambayo Gundu la Yeye Kutokufunga Goli ilianzia hapo kupitia Demu wake Mswahili ( Mtanzania ) wa Saluni yake Kubwa Magomeni Mapipa itamtesa mno Mayele na kumtesa zaidi Kisaikolojia.
😂😂 uto bna mlimpa mpaka ng'ombe lakini wapiNobody care about Mayele na Style yake ya kipuuzi puuzi.
NakaziaPini aliyopigwa na Mganga Hatari wa Simba SC katika ile Mechi ya Kariakoo Derby ambayo Gundu la Yeye Kutokufunga Goli ilianzia hapo kupitia Demu wake Mswahili ( Mtanzania ) wa Saluni yake Kubwa Magomeni Mapipa itamtesa mno Mayele na kumtesa zaidi Kisaikolojia.
Nyie endeleeni kukariri kumkaba mayele
kamuulize Aisha manula anamkumbuka kwenye ngaoNobody care about Mayele na Style yake ya kipuuzi puuzi.
tangu tumkabe mayele kwa mkapa simba alifungwa na nani kutoka hapo utopoloniNyie endeleeni kukariri kumkaba mayele
Mtakuwa mnafungwa na wengine
uto mwenzako huyokamuulize Aisha manula anamkumbuka kwenye ngao
Hivi hamuwezi kulala bika kumsema mayele?Pini aliyopigwa na Mganga Hatari wa Simba SC katika ile Mechi ya Kariakoo Derby ambayo Gundu la Yeye Kutokufunga Goli ilianzia hapo kupitia Demu wake Mswahili ( Mtanzania ) wa Saluni yake Kubwa Magomeni Mapipa itamtesa mno Mayele na kumtesa zaidi Kisaikolojia.
Unajiandaa Kumzalia Watoto lini labda?Hivi hamuwezi kulala bika kumsema mayele?