Ni suala la muda tu ila Sauli na New Force mabasi yanayoelekea Tunduma na Mbeya yatamaliza watu

UKikaa tu barabarani kwa saa 1 utagundua shida ya kwanza ni wembamba wa barabara ndio uzembe wa madereva unafuata
Barabara ni nyembamba na watumiaji ni wengi

Waongeze upana wa barabara kwanza
Ndio warudi kwa madereva na watumiaji wengine
 
royal ❌️
loyal ✅️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…