Yes nipo na nitaendelea kuwa royal customer wao as long as hii kampuni bado ipo,tuache politics na ushabiki hapa,accidents ni someone fault sio kazi ya Mungu,tanker imebaki na barabarani bila ya kuwaonya watumiaji wengine wa barabara,matokeo yake ni Sauli kuishia kwenye matako ya tanker,new force Ali ignore good following distance (8s),naye akaishia matakoni mwa Sauli,T1 ni barabara finyu mno