namanga-kitonga
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 679
- 744
Mkata tiketi pale ofisi za Urafiki-Ubungo. Tumekusikia babaaaaa!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkata tiketi pale ofisi za Urafiki-Ubungo. Tumekusikia babaaaaa!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Nikikumbuka nilikua najifunzia kuendesha gari kwenye bus la abiria likiwa na abiria 55 ndani ya bus tena safari ndefu naendesha nusu safari chuma ina gia 8 na hata kupangua gia sijui vizuri nachoka kabisa na nilikua namwaga Moto kinoma
Hakuna anayeweza kukufundisha kuendesha bus likiwa na abiria!Nikikumbuka nilikua najifunzia kuendesha gari kwenye bus la abiria likiwa na abiria 55 ndani ya bus tena safari ndefu naendesha nusu safari chuma ina gia 8 na hata kupangua gia sijui vizuri nachoka kabisa na nilikua namwaga Moto kinoma
Hao golden intercity walikuja kuwa vichaa baada ya kuhamia kigoma!Nimeyapanda yote hayo. Mombasa Raha walikuwa wastaarabu sana kwani nili-opt kulipanda kila mara hasa Mwz-Dsm. Ally's nilipanda mara 1 nikasarenda. Bufalo na Ngorika niliyaacha kabisaaa.
Baadae nikahamia Yutong za mwanzo (Golden Intercity Bus) kabisa kutoka Mwz-Dsm.
Mi ndo nakwambia nilikua najifunza kuendesha na gar ina abiria 55 level seat hata kukanyaga clutch had mwsho nilikua nasahau lakin nikimaliza kupanga gia 8 namwaga Moto bila kujali ndo najifunzaHakuna anayeweza kukufundisha kuendesha bus likiwa na abiria!
Sema ulikuwa umeshajua kuliendesha hivyo ulikuwa unazoeshwa kuendesha umbali fulani!!
Wivu tu!
Sasa ukutane na mimi nikuoe lifti natembeaga speed mpaka 200 baadhi ya maeneo sijui utafanya nini
Daaaaaa! Sawa mkuu..Mi ndo nakwambia nilikua najifunza kuendesha na gar ina abiria 55 level seat hata kukanyaga clutch had mwsho nilikua nasahau lakin nikimaliza kupanga gia 8 namwaga Moto bila kujali ndo najifunza
Na ww ni zuzu tafuta pesa acha kuandika andika kuhusu magari hayoTafuteni pesa acheni ku-klem magari ya wanaume sijui DPK sijui DPC sijui Gemiland sijui Benz,huo ni uzuzu
[emoji3][emoji3]Hao golden intercity walikuja kuwa vichaa baada ya kuhamia kigoma!
Habari fupi lakin inachosha, kwanin unaandika usichokijua???Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua askari wowote wanaokuwepo zamu siku husika katika usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya Mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia, Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Mimi sijawahi kuipanda Sauli ila alisababisha ajali ya kizembe kibaha sehemu inaitwa kwa bonde nakaidharau kampuni hii.Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua askari wowote wanaokuwepo zamu siku husika katika usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya Mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia, Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Kama haujui sasa usiambiwe???Tafuteni pesa acheni ku-klem magari ya wanaume sijui DPK sijui DPC sijui Gemiland sijui Benz,huo ni uzuzu
Sawa mkatwa ticket.Mkata tiketi pale ofisi za Urafiki-Ubungo. Tumekusikia babaaaaa!!!!
Kaka hiyo ni jeuri na soon utavuna matunda yake.Mbona hazina shida kabisa? Kama unaona shida panda ndege
mzee wewe ni wa nchi gani?Una akili ndogo Sana, kwasababu hazijapata ajali ndio zisinyoshewe kidole..
Mitanzania akili ziko matakoni
Allys dragon masterKuna wengine wa njia ya mwanza.. wanakimbia sana. Hawaongelewi sababu wanafika muda ambao tunaona ni usiku mwanza. Ila kutoka dar mwanza umbali wake ukifika saa 4 usiku maana yake umekimbia sana kuliko hizo sauli na new force za mbeya na tunduma
Bus inayofika mbeya saa 12 jioni kutokea dar spidi yake ni ndogo kuliko bus iliyofika mwanza saa 4 usiku kutokea dar pia
Hapo Ni sawa na kusema tecno vs snapdragon 680GYoutong Vs Benz..!!!