Desire mobutu seseseko
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 987
- 1,426
happy nation SAUTI YA MANKA miaka ya 2012Hakuna basi zinazokimbia siku hizi bwashee!
Sijaona dereva kama Giriki wa Tawaqal hadi sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
happy nation SAUTI YA MANKA miaka ya 2012Hakuna basi zinazokimbia siku hizi bwashee!
Sijaona dereva kama Giriki wa Tawaqal hadi sasa.
Akati tena daah[emoji23][emoji23]KISWAHILI tu kinakupa shidaNa ww acha ulimbukeni wa kushabikia lugha za watu akati huzijui, ni cram na sio cream
Happy Nation ilianza 2004 Dar - Dodomahappy nation SAUTI YA MANKA miaka ya 2012
Hapana kwasasa madereva hawakimbii kabisa hivi enzi zile Dar- Mbeya masaa 9 tu ungesemaje? Au Dar- Arusha masaa 7( Ngolika vs Buffalo), Mwanza-Dar masaa 13 tu (Ally's, Mombasa Raha, Colour star) au Kahama-Dar Masaa 11 na nusu au 12 ( Leina, Ally's ) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kukumbatia unachoamini mkuu. Sijawahi panda hayo mabasi lakini kupitia mitandao ya jamii na video mbalimbali nachelea kusema kwamba hayo magari yanavunja sheria mbalimbali za barabarani. Mbaya zaidi ni hilo la Mwendokasi. Kutopata ajali sio kigezo kwamba hizo gari ziko sahihi na zinatii sheria. Cha msingi ni kuomba kwa Mungu yasitokee na wakati mwingine wahusika wakichukua tahadhari.Haya tuambie tokea Sauli katoa bus zake lini limepata ajali na kuleta maafa?? Kwa nini kama bus inatakiwa isizidishe speed ya km 80 kwa saa serikali isilete Sheria ya kuingiza bus zenye speed max km 80 kwa saa?? Mwisho kama hupenzi Gari yenye speed si upande Majinja au ABOOD??
Sauli anasafisha njia Hadi JamiiForum duh!!!???
Kwahiyo kama kosa lilikua linafanyika zamani ndio inakua ni halali kwa kosa hilo kuendelea kufanyika?Kwani zamani walikuwa hawaovertake?
Na Magar hayakuwa mengi barabaran tofauti na Sasa....Miaka ya 2012 hapo tulikuwa tunatoka njombe saa 06:00 Ubungo unafika saa 15:30 na bus la Budget.
Kuna wengine wa njia ya mwanza.. wanakimbia sana. Hawaongelewi sababu wanafika muda ambao tunaona ni usiku mwanza. Ila kutoka dar mwanza umbali wake ukifika saa 4 usiku maana yake umekimbia sana kuliko hizo sauli na new force za mbeya na tunduma
Bus inayofika mbeya saa 12 jioni kutokea dar spidi yake ni ndogo kuliko bus iliyofika mwanza saa 4 usiku kutokea dar pia
Dar - Mby - 900km
Dar - Mza - 1100km
200km kwa tofauti ya masaa manne unamaanisha nini kusema kwamba amewahi Mkuu?
Nimekuwa nikifanya safari za Mara kwa Mara baina ya hii mikoa Mkuu.Nani amekwambia dar mwz ni km 1100 na dar mbeya ni 900 km?
Nenda kafanye research kwanza. Tanroad wana chat ya bara bara nchi nzima na umbali wa kila mkoa kwenda mkoa mwingine. Tumja google kuitazama.
Acha stori za vijiweni ambazo hazina research
Kuna watu hawajui kuna kukimbia na kuendesha rough mabus mengi haya kimbii ila rough wanaweza ku mantain hata 70 kwa hrbhasa Sauli Kwenye tuta anapita na speed 80 sabb gari zina booster mfano anaweza ku overtake sehem hatarishi lakini hajazidi ile speed waliyopangiwa hakuna ma Bus hatarishi kama Dar mwanza hawa Ally Stas Happy Nation ila hawaoni
Sent from my CPH2061 using JamiiForums mobile app
Watakubeza kuhusu hizo basi, lakini ukweli ndio huo!!!Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua Askari wowote wawao zamu siku husika wa usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia,Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Nimeyapanda yote hayo. Mombasa Raha walikuwa wastaarabu sana kwani nili-opt kulipanda kila mara hasa Mwz-Dsm. Ally's nilipanda mara 1 nikasarenda. Bufalo na Ngorika niliyaacha kabisaaa.Hapana kwasasa madereva hawakimbii kabisa hivi enzi zile Dar- Mbeya masaa 9 tu ungesemaje? Au Dar- Arusha masaa 7( Ngolika vs Buffalo), Mwanza-Dar masaa 13 tu (Ally's, Mombasa Raha, Colour star) au Kahama-Dar Masaa 11 na nusu au 12 ( Leina, Ally's ) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]