Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi ile AVA yake vip siioni road siku hizi (smartphone).Ebu acha kumkosea heshima rabi
ushawahi kupanda smartphone mzee?Hujakutana na Kiazi Kitamu Arusha to Mwanza. Ni noma roho mkononi muda wote na sakari wanawapungia mikono tu.
Hizi za mwanza ikishafika sa12 zinachapa mwendo hatarKuna watu hawajui kuna kukimbia na kuendesha rough mabus mengi haya kimbii ila rough wanaweza ku mantain hata 70 kwa hrbhasa Sauli Kwenye tuta anapita na speed 80 sabb gari zina booster mfano anaweza ku overtake sehem hatarishi lakini hajazidi ile speed waliyopangiwa hakuna ma Bus hatarishi kama Dar mwanza hawa Ally Stas Happy Nation ila hawaoni
Sent from my CPH2061 using JamiiForums mobile app
yap mkuu zama za kina safina m-sleeping coach hekima saa 7 mchana yuko moro anatokea green cityHakuna basi zinazokimbia siku hizi bwashee!
Sijaona dereva kama Giriki wa Tawaqal hadi sasa.
Chuma ipo Roadhivi ile AVA yake vip siioni road siku hizi (smartphone).
Au mdgoake iPhone (BAP)ushawahi kupanda smartphone mzee?
nna mda sana sijaiona . ile mashine ni ya motoChuma ipo Road
Naunga mkono hoja,Kuna watu hawajui kuna kukimbia na kuendesha rough mabus mengi haya kimbii ila rough wanaweza ku mantain hata 70 kwa hrbhasa Sauli Kwenye tuta anapita na speed 80 sabb gari zina booster mfano anaweza ku overtake sehem hatarishi lakini hajazidi ile speed waliyopangiwa hakuna ma Bus hatarishi kama Dar mwanza hawa Ally Stas Happy Nation ila hawaoni
Sent from my CPH2061 using JamiiForums mobile app
Mwambie ni battle ya DPK 712 Vs DWF 418.Kumbe
DWF 418 ni kiboko ya Southern Highlands..!!!Nkiiona saul
Hata ugal hua naacha
Ndo watu wanapenda mwendo maana hazijawahi kwenda sit wazi.Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua Askari wowote wawao zamu siku husika wa usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia,Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Hawa vilevile wana mchezo wa kushindana wao kwa wao .Kapande Abood
Tafuta hela kaka aliepata kapata mkuu wangu.Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua Askari wowote wawao zamu siku husika wa usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia,Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Madereva wamejaa kiburi, jeuri, kejeli, vijembe na nyodo kama vile wameolewaKapande Abood
Aliyekuja na suluhisho la ving'amuzi akashindwa kuvisimamia ni nani? Tuanze na huyoHuwezi kulaumu trafiki Moja kwa moja wakati wewe abiria ni kiumbe mwenye ufahamu / uelewa kosa au tatizo likifanyika unaelewa , majukumu ya usimamizi wa usalama wa kwanza ni wewe abiria trafiki hawawezi kutosha barabara yote Dar - mwz, Dar - ash, Dar -mby
Climber sio YutongMwambie ni battle ya DPK 712 Vs DWF 418.
Watoto wotee wakina IMANI, TANZANITE, HAPPY NATIONAL, NGANGA, KYELA EXPRESS, KILIMANJARO, SAIBABA, ABOOD, yaani wotee WAKAE PEMBENI.
Ni Youtong Vs Benz..!!!
Naelewa sanaa hii battle.
Naomba idumu milele.
#YNWA
DWF ni scania gemilang na sio benz mkuuMwambie ni battle ya DPK 712 Vs DWF 418.
Watoto wotee wakina IMANI, TANZANITE, HAPPY NATIONAL, NGANGA, KYELA EXPRESS, KILIMANJARO, SAIBABA, ABOOD, yaani wotee WAKAE PEMBENI.
Ni Youtong Vs Benz..!!!
Naelewa sanaa hii battle.
Naomba idumu milele.
#YNWA