Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Kweli Bujibuji Simba Nyanaume njoo huku.Hakuna basi zinazokimbia siku hizi bwashee!
Sijaona dereva kama Giriki wa Tawaqal hadi sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Bujibuji Simba Nyanaume njoo huku.Hakuna basi zinazokimbia siku hizi bwashee!
Sijaona dereva kama Giriki wa Tawaqal hadi sasa.
Bwashee mbona una kichwa kigumu! Umeambiwa kuovertake hovyo hovyo na sio kuovertake, zamana magari yalikuwa machache kwahiyo overtake za hovyo hovyo hazikuwepo au zilikuwepo kwa uchache mno na kuminimize riskKwani zamani walikuwa hawaovertake?
Tuhuma nzito hizi, jeshi la Polisi likitaka ushahidi upo tayari kuwapa?Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua Askari wowote wawao zamu siku husika wa usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia,Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Hahahaaaa....... Nimekuelewa bwashee!Bwashee mbona una kichwa kigumu! Umeambiwa kuovertake hovyo hovyo na sio kuovertake, zamana magari yalikuwa machache kwahiyo overtake za hovyo hovyo hazikuwepo au zilikuwepo kwa uchache mno na kuminimize risk
Haya tuambie tokea Sauli katoa bus zake lini limepata ajali na kuleta maafa?? Kwa nini kama bus inatakiwa isizidishe speed ya km 80 kwa saa serikali isilete Sheria ya kuingiza bus zenye speed max km 80 kwa saa?? Mwisho kama hupenzi Gari yenye speed si upande Majinja au ABOOD??Haya mabasi yatakuja kusababisha ajali itakayoistua nchi.
Wapumbavu wachache wanashabikia ligi yao ya kipuuzi.
😂😂😂😂😂😂Tuhuma nzito hizi, jeshi la Polisi likitaka ushahidi upo tayari kuwapa?
Tatizo siyo kukimbia ila ni kuovertake hovyo hovyo.
Watz wana ugonjwa wa kulaumu laumuJanga kubwa Ni Abiria wenyewe.
Yaani dereva akimbize Bus utafikiri kabeba MATEJA watafuna MIRUNGI au mapipa ya mbege na abiria mkae kimya halafu uwalaumu Askari?
Bwasheeeee umekubali kinyonge sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaaaa....... Nimekuelewa bwashee!
Inawezekana unaenda speed hiyo ila changamoto ya Sauli ni kukosa utulivu barabarani. Hiyo speed ya 200 ni gari gani mkuu na huwa unatumia barabara gani?Wivu tu!
Sasa ukutane na mimi nikuoe lifti natembeaga speed mpaka 200 baadhi ya maeneo sijui utafanya nini
Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua Askari wowote wawao zamu siku husika wa usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia,Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Hakuna namna bwashee!Bwasheeeee umekubali kinyonge sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Karibu migombani , tugonge mbegeHakuna namna bwashee!
Hayo magari hayakimbii kabisa. Embakassy ilikuwa inatoka Mbeya saa 12 asubuhi Mnazi Mmoja inaingia saa kumi na nusu au saa 11 jioni, walikuwa wanapanda wazee tuu, haikuwahi kupata ajali, sembuse hayo magari yanayofika Dsm usiku?Uendeshaji wao ni wa hovyo kabisa na hauzingatii sheria na kanuni za barabarani.
Sauli hununua Askari wowote wawao zamu siku husika wa usalama barabarani kuanzia Igawa hadi Tunduma na hutoka mtu maalum na gari ndogo Mbeya mjini kwa ajili ya wao wanachokiita kusafisha njia.
Narudia,Sauli na New force ni janga litarajiwalo huko Kusini mwa Tanzania.
Ebu acha kumkosea heshima rabiHujakutana na Kiazi Kitamu Arusha to Mwanza. Ni noma roho mkononi muda wote na sakari wanawapungia mikono tu.
Ndugu abiria yupo na DPK 712 ya mbawala wa dhahabuWaubani sasahivi anaendesha sauli