Ni suala la muda tu jimbo la Kawe kutangazwa kuwa lipo wazi

Ni suala la muda tu jimbo la Kawe kutangazwa kuwa lipo wazi

Gwajima ni mhaini. Nashangaa sana kwanini yupo hai hadi sasa.
 
Jimbo Hilo halikuwa lake namba moja kura za maoni bado anasononeka ndiyo maana gwaji boy anaweweseka.
 
Uzuri katika suala kama hili la corona anachohubir gwajima na uhalisia ulivyo ni vitu vuwili tofaut,anaeonekana chizi ni yeye gwajima na wanaomsikiliza,serikali imeshasema Chanjo ni hiyari,sasa kelele za nini?
Point
 
Gwajima ni kama ameamua liwalo na liwe, anamchukulia poa Samia, ila kuondolewa ubunge hilo sahau inaonekana kwa nje hakupewa ubunge na chama alipewa na wananchi, wakati ukweli ni kwamba alipewa ubunge na chama chake kwa wizi wa kura uliovunja rekodi duniani.
Mkuu CCM wanajuana, wakati wa Magufuli Hussein Bashe alikuwa akirusha kila aina ya maneno hadi ikafikia wakati akatupia maneo TISS. Wote tulidhani Bashe anaenda kufukuzwa CCM, kilichotokea Bashe akapewa uwaziri.
Hivyo vita ya CCM huwa wanajuana hao
 
Ni ujinga kudhani kuwa chanjo ipo kwa ajili ya kuwaua kina Gwajima ambao hata uelewa hawana. Imagine chanjo wameanza kuchanja hao hao wenye chanjo sisi tunakuwa wa mwisho halafu tunawalaumu eti wanataka kutuua ili waje watuibie ardhi.

Yani huenda sisi watanzania tuna Mungu wetu wa kipekee. Yani tumejaza tu ujinga vichwani mwetu.
We unawaamini vipi mkuu kama wamechanja mnachotaka kuchanjwa?
 
Gwajima ni mhaini. Nashangaa sana kwanini yupo hai hadi sasa.
Siasa haziendi hivyo, hata kipindi Cha mwendazake akina Bashe kabla ya kupewa uwaziri walikuwa hivihivi.
Vita ya ndani CCM huwa wanajuana.
Kwa haiba ya mwendazake kila mtu alinua Hussein Bashe atafukuzwa CCM
 
Hakuna mtu anayeweza kupigana na serikali kisha serikali ikanywea.

Huyo inaonekana hakuutaka ubunge, alitakiwa tu awe mbunge kwa maagizo kutoka kwa asiowaweza kuwabishia. Sasa labda ameruhusiwa atengeneze sababu ya kutoka ili aendelee na mambo yake.

Wewe hujiulizi alikosa nn kwenye uchungaji hadi kula matapishi yake kuwa uwaziri, uraisi ni vyeo vidogo vidogo? Kwamba ubunge ungemlipa kuliko sadaka na wafuasi aliokua nao?

Narudia, hakuna anayeweza kupigana na serikali iliyopo madarakani akabaki nchini akiwa mshindi na serikali ikanywea. Labda nyuma yake ziwepo serikali nyingine mbili tatu zenye nguvu kumlinda.
 
Gwaji ni kitengo anajua anachokifanya, hata mfumo unajua anachokifanya gwaj boy aka rashid
Kitengo ndicho kitakachomiweka GwajiBoy 2025 .



JPM aliacha mfumo fulani ivi ndani ya vyombo vya dola kuanzia Kitengo, mpaka polisi.




Hivi mnajua anachokitetea Gwaji...hadi ivo vitengo, wanamuunga mkono[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waza unavyofikiri na wewe , Gwajima anaulewa Mpana zaidi ya unavyowaza
 
Huyo mtu akuingia CCM kwa sababu anaipenda bali kilichompeleka ni ukabila wakati wa Magufuli na kenge wa dizaini yake wapo kibao.
Hakuenda bali alipelekwa kama sehemu ya kujenga ngome ya kikabila ikiwa ni pamoja na kupatiwa jimbo kwa nguvu.
 
Huyo mtu akuingia CCM kwa sababu anaipenda bali kilichompeleka ni ukabila wakati wa Magufuli na kenge wa dizaini yake wapo kibao.

Una uhakika au ndo Mzee wa hate and say anything so long as you enough bundle. Mimi sina hata dalili ya usukuma Lakini JPM kwa Wakati Wake nilimpenda. Hakuwa na nonsense kama wewe na Wenzako ambao maneno mengi matendo zero. Now it’s Samia time. Jifunze kumove on. Kadiri mnavyopenda kumtaja tunajua mna love hate relationship na marehemu. It’s bad for your health.
 
That's disre

That's disrespect,Taasis ya urais mbona unaidhalilisha hivyo,yaani gwajima awe presidential candidate?

Akuongoze wewe na ukoo wako
Msizidi kuzalisha wajinga na wapumbavu
Ujinga na utapeli itakuwa ilani yenu ama
most powerful presidential candidate my foot
What a joke!

Nchi imechoka kuongozwa na wenye elimu za kuungaunga chini ya miti
Eti phd

Punguza porojo


Wee jamaa unaota ndoto mbaya sana.

Ndiyo maana nilisita kuandika hivi kuogopa kushambuliwa. Ni vile tu mmekaa dar na nyuma ya keyboard hamchangamani mikoani na hamjui damage iliyofanywa kuhusu mtazamo hasi wa chanjo na huyu mama kwasasa na gwaji anavyoongelewa. Gwaji anacheza na namba muda utaongea
 
Mkuu labda Covid impitie lakini ndani ya maccm wanamuhofia sana huyu awe ndani ya maccm au nje. Hivyo hawana jinsi zaidi ya kujifanya hawamsikii asemacho.
Kwa wataalam wa siasa tunasema kuwa Mbunge wa Kawe bwana Gwajima ameshavuka red line na kinachofuata ni kutangazwa tu kuwa Jimbo lipo wazi.

Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.

Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.

Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama ya maccm.

Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.

Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!
 
Back
Top Bottom