Ni suala la muda tu jimbo la Kawe kutangazwa kuwa lipo wazi

Ni suala la muda tu jimbo la Kawe kutangazwa kuwa lipo wazi

Uelewa gani ambao hana Mch. Gwajima ambao wewe unao G Sam..?

Hata hivyo:

1. Mwenzio anazungumza mambo katika perspective ya kiroho, ambayo wewe naamini kuwa huna uelewa huo...

2. Hata katika perspective ya kisayansi anaelewa kuliko unavyoelewa wewe. Mfano hoja za kisayansi za Mch. Gwajima ni;

#1. Hakuna utafiti wa kutosha wa kisayansi uliokwisha kufanyika kuthibitisha usalama wa chanjo yeyote ya korona mpaka sasa. Kama upo weka paper yake hapa uoneshe ilichapwa lini, wapi na nani. Kama hakuna, haraka ya nini kutaka kulazimisha kila mtu achanjwe pasipo kuwa na scientific safety assurance kwanza..?

#2. Nini madhara ya chanjo hii ya muda mfupi, wa kati na mrefu kwa atakayechanjwa..?

#3. Kwa maneno ya Rais Samia Mwenyewe siku ya uzinduzi wa chanjo kitaifa alisema kuwa, mara mtu achanjwapo anaingia moja kwa moja kwenye database ya dunia. Swali, ni nani mmiliki wa database hiyo? Yuko wapi?

Haya ndo maswali anayouliza Mch. Gwajima na watetezi wa hii kitu wanakwepa au wanashindwa kutoa majibu sahihi...!!

Kama mtu makini hajiulizi maswali haya kabla ya kupokea hii kitu, basi huyo mtu ndiye mjinga kabisa kwa 100%...!!!!


Wala huibiwi ardhi kwa njia na namna hiyo ujuayo wewe. Aidha ili kujibu hoja hii, ni lazima kwanza ujibu swali la #3 hapo juu...

Hata hivyo, si kweli kuwa, huko walikotengeneza chanjo hizi wote wanachanjwa. Wapo tena kwa maelfu wenye misimamo kama ya Mch. Gwajima hapa Tanzania...!!

Absolutely, Mungu wetu ni wa kipekee. Anatupenda sana. Sijui ni kwanini wewe huuoni upendo huo...!

Imeandikwa;

"...hamkosi kuzitambua hila (mikakati) yake (yaani ibilisi/shetani)...."

Si kila kilicho kizuri kwa kuonekana kwa sauti au kwa dhamira chatoka kwa Mungu. Mwombe Mungu akupe uwezo wa kuzitambua hila zake mbaya za uangamivu...!!

Hata hivyo, kuchanjwa ni hiari. Tumia uhiari wako kuamua kwa busara na kwa usalama wako. Kwa hili, chagua Mungu katika Yesu Kristo. Kwake ni guaranteed usalama kwa 100%....!!
Umeeleza kwa kina!!


Shida mihemko, wanashindwa kujibu hoja za msingi za Gwajima!!
 
Ishu hii ya Gwajima corona inatumika kama sababu tuu... Hii ni zaidi tujuavyo, Gwaji hayuko peke yake na katika genge lao yeye ndio kachaguliwa kama mpiga filimbi (sio yule wa Hamelin)
Kundi faidika la mwanakwenda ndio wako kwenye mpango kabambe wa kumyumbisha bimkubwa..Na agenda yao ni 2025... Wana maslahi yao makubwa na ya siri kwenye hili na ndio wako nyuma ya kupinga katiba mpya kwa nguvu zote..Halali na haramu
Kaka unaheshima kubwa sana ndani ya Jamiiforums!!


Usijipunguzie heshima hizo, tusaidie kujibu hoja za Gwajima kama alivyohoji. Kuna maswali ya msingi mnakwepa kumjibu mwisho wa siku mnakuwa kama mko kijiwe cha kahawa, sijaona mtaalamu yeyote aliyejibu kitaalamu maswali ya Gwajima.

Naomba ninukuu summary ya mwana JF kuhusu hoja za Gwajima.

"Uelewa gani ambao hana Mch. Gwajima ambao wewe unao G Sam..?

Hata hivyo:

1. Mwenzio anazungumza mambo katika perspective ya kiroho, ambayo wewe naamini kuwa huna uelewa huo...

2. Hata katika perspective ya kisayansi anaelewa kuliko unavyoelewa wewe. Mfano hoja za kisayansi za Mch. Gwajima ni;

#1. Hakuna utafiti wa kutosha wa kisayansi uliokwisha kufanyika kuthibitisha usalama wa chanjo yeyote ya korona mpaka sasa. Kama upo weka paper yake hapa uoneshe ilichapwa lini, wapi na nani. Kama hakuna, haraka ya nini kutaka kulazimisha kila mtu achanjwe pasipo kuwa na scientific safety assurance kwanza..?

#2. Nini madhara ya chanjo hii ya muda mfupi, wa kati na mrefu kwa atakayechanjwa..?

#3. Kwa maneno ya Rais Samia Mwenyewe siku ya uzinduzi wa chanjo kitaifa alisema kuwa, mara mtu achanjwapo anaingia moja kwa moja kwenye database ya dunia. Swali, ni nani mmiliki wa database hiyo? Yuko wapi?

Haya ndo maswali anayouliza Mch. Gwajima na watetezi wa hii kitu wanakwepa au wanashindwa kutoa majibu sahihi...!!

Kama mtu makini hajiulizi maswali haya kabla ya kupokea hii kitu, basi huyo mtu ndiye mjinga kabisa kwa 100%."
 
Kaka unaheshima kubwa sana ndani ya Jamiiforums!!


Usijipunguzie heshima hizo, tusaidie kujibu hoja za Gwajima kama alivyohoji. Kuna maswali ya msingi mnakwepa kumjibu mwisho wa siku mnakuwa kama mko kijiwe cha kahawa, sijaona mtaalamu yeyote aliyejibu kitaalamu maswali ya Gwajima.

Naomba ninukuu summary ya mwana JF kuhusu hoja za Gwajima.

"Uelewa gani ambao hana Mch. Gwajima ambao wewe unao G Sam..?

Hata hivyo:

1. Mwenzio anazungumza mambo katika perspective ya kiroho, ambayo wewe naamini kuwa huna uelewa huo...

2. Hata katika perspective ya kisayansi anaelewa kuliko unavyoelewa wewe. Mfano hoja za kisayansi za Mch. Gwajima ni;

#1. Hakuna utafiti wa kutosha wa kisayansi uliokwisha kufanyika kuthibitisha usalama wa chanjo yeyote ya korona mpaka sasa. Kama upo weka paper yake hapa uoneshe ilichapwa lini, wapi na nani. Kama hakuna, haraka ya nini kutaka kulazimisha kila mtu achanjwe pasipo kuwa na scientific safety assurance kwanza..?

#2. Nini madhara ya chanjo hii ya muda mfupi, wa kati na mrefu kwa atakayechanjwa..?

#3. Kwa maneno ya Rais Samia Mwenyewe siku ya uzinduzi wa chanjo kitaifa alisema kuwa, mara mtu achanjwapo anaingia moja kwa moja kwenye database ya dunia. Swali, ni nani mmiliki wa database hiyo? Yuko wapi?

Haya ndo maswali anayouliza Mch. Gwajima na watetezi wa hii kitu wanakwepa au wanashindwa kutoa majibu sahihi...!!

Kama mtu makini hajiulizi maswali haya kabla ya kupokea hii kitu, basi huyo mtu ndiye mjinga kabisa kwa 100%."
Amini nilichoandika kiko hivyo na zaidi yake.. Hoja za Gwajima sio mtambuka na sio halisi, na ni vigumu kumjibu kwakuwa ameshaonesha wazi ni kinyonga mwenye rangi nyingi na mtu asiyeaminika
Habari za kufufua misukule ziliishia wapi?
Habari za kumfufua marehemu Amina Chifupa ziliishia wapi?
Alisema hawezi kuwa mbunge kwakuwa yeye ni mtumishi wa Mungu leo hii ni nani?

Among all people who deserves least respect Gwajima is one of them...NAWACHUKIA watu wenye ndimi mbili
 
Nimefikiri punde tu Gwaji boy alipooneshe msimamo wa ant Uviko 19.time doesn't lie
 
Gwajima anamuhujumu Rais Samia,anasuka mipango na kuendesha vikao vya kuhakikisha Rais Sammia hafanikiwi
 
Gwajima ni kama ameamua liwalo na liwe, anamchukulia poa Samia, ila kuondolewa ubunge hilo sahau inaonekana kwa nje hakupewa ubunge na chama alipewa na wananchi, wakati ukweli ni kwamba alipewa ubunge na chama chake kwa wizi wa kura uliovunja rekodi duniani.

Huyu hakupewa ubunge na chama chake.
Ktk mchakato wa chama wajumbe wa ccm kawe hata hawakumpitisha.
Huyu alipewa ubunge na MAGUFULi.
 
Amini nilichoandika kiko hivyo na zaidi yake.. Hoja za Gwajima sio mtambuka na sio halisi, na ni vigumu kumjibu kwakuwa ameshaonesha wazi ni kinyonga mwenye rangi nyingi na mtu asiyeaminika
Habari za kufufua misukule ziliishia wapi?
Habari za kumfufua marehemu Amina Chifupa ziliishia wapi?
Alisema hawezi kuwa mbunge kwakuwa yeye ni mtumishi wa Mungu leo hii ni nani?

Among all people who deserves least respect Gwajima is one of them...NAWACHUKIA watu wenye ndimi mbili
Kama ndio hivo basi wenye ndimi mbili katika hili anza na uongozi wa juu wote wa wizara ya afya kuanzia waziri na naibu wake plus katibu mkuu wake. Kwa hili la corona ndio wametajadadi kwa ndimi mbili

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Uelewa gani ambao hana Mch. Gwajima ambao wewe unao G Sam..?

Hata hivyo:

1. Mwenzio anazungumza mambo katika perspective ya kiroho, ambayo wewe naamini kuwa huna uelewa huo...

2. Hata katika perspective ya kisayansi anaelewa kuliko unavyoelewa wewe. Mfano hoja za kisayansi za Mch. Gwajima ni;

#1. Hakuna utafiti wa kutosha wa kisayansi uliokwisha kufanyika kuthibitisha usalama wa chanjo yeyote ya korona mpaka sasa. Kama upo weka paper yake hapa uoneshe ilichapwa lini, wapi na nani. Kama hakuna, haraka ya nini kutaka kulazimisha kila mtu achanjwe pasipo kuwa na scientific safety assurance kwanza..?

#2. Nini madhara ya chanjo hii ya muda mfupi, wa kati na mrefu kwa atakayechanjwa..?

#3. Kwa maneno ya Rais Samia Mwenyewe siku ya uzinduzi wa chanjo kitaifa alisema kuwa, mara mtu achanjwapo anaingia moja kwa moja kwenye database ya dunia. Swali, ni nani mmiliki wa database hiyo? Yuko wapi?

Haya ndo maswali anayouliza Mch. Gwajima na watetezi wa hii kitu wanakwepa au wanashindwa kutoa majibu sahihi...!!

Kama mtu makini hajiulizi maswali haya kabla ya kupokea hii kitu, basi huyo mtu ndiye mjinga kabisa kwa 100%...!!!!


Wala huibiwi ardhi kwa njia na namna hiyo ujuayo wewe. Aidha ili kujibu hoja hii, ni lazima kwanza ujibu swali la #3 hapo juu...

Hata hivyo, si kweli kuwa, huko walikotengeneza chanjo hizi wote wanachanjwa. Wapo tena kwa maelfu wenye misimamo kama ya Mch. Gwajima hapa Tanzania...!!

Absolutely, Mungu wetu ni wa kipekee. Anatupenda sana. Sijui ni kwanini wewe huuoni upendo huo...!

Imeandikwa;

"...hamkosi kuzitambua hila (mikakati) yake (yaani ibilisi/shetani)...."

Si kila kilicho kizuri kwa kuonekana kwa sauti au kwa dhamira chatoka kwa Mungu. Mwombe Mungu akupe uwezo wa kuzitambua hila zake mbaya za uangamivu...!!

Hata hivyo, kuchanjwa ni hiari. Tumia uhiari wako kuamua kwa busara na kwa usalama wako. Kwa hili, chagua Mungu katika Yesu Kristo. Kwake ni guaranteed usalama kwa 100%....!!

Machapisho ya watengenezaji, wadhibiti ubora, waidhinishaji, wanataaluma na taasisi husika kama WHO yameelezea kwa undani habari zote muhimu kuhusu chanjo hizo.

Wataalamu wa kila nchi wana fursa za kuwasiliana na taasisi hizo kwa ufafanuzi na mashauriano zaidi. Hivyo, hakuna haja ya kuulizana maswali ambayo majibu yake yanapatikana kirahisi tu.
 
Kwa wataalam wa siasa tunasema kuwa Mbunge wa Kawe bwana Gwajima ameshavuka red line na kinachofuata ni kutangazwa tu kuwa Jimbo lipo wazi.

Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.

Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.

Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama ya maccm.

Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.

Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!
Acha ndoto za mchana. Vivid 19 vaccine ni controversial duniani kote. Kama watu wana haraka ya kuchanja,ni vizuri. Sisi wengine ambao tuna mashaka kidogo na chanjo tutasubiri kuona madhara gani yanawafika.
 
Amini nilichoandika kiko hivyo na zaidi yake.. Hoja za Gwajima sio mtambuka na sio halisi, na ni vigumu kumjibu kwakuwa ameshaonesha wazi ni kinyonga mwenye rangi nyingi na mtu asiyeaminika
Habari za kufufua misukule ziliishia wapi?
Habari za kumfufua marehemu Amina Chifupa ziliishia wapi?
Alisema hawezi kuwa mbunge kwakuwa yeye ni mtumishi wa Mungu leo hii ni nani?

Among all people who deserves least respect Gwajima is one of them...NAWACHUKIA watu wenye ndimi mbili
Duh!!

Bado hujajikita kwenye mada mkuu, sasa kama huamini katika watu wenye ndimi mbili na hawa viongozi wetu ambao mwanzo walijenga hadi mitambo ya kujifukizia mbona unawaunga mkono?


Achana na mambo ya kufufua misukule, tujikite kwenye hoja kuhusu chanjo ya Corona pls and pls!!
 
Kwa wataalam wa siasa tunasema kuwa Mbunge wa Kawe bwana Gwajima ameshavuka red line na kinachofuata ni kutangazwa tu kuwa Jimbo lipo wazi.

Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.

Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.

Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama ya maccm.

Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.

Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!
Nakuomba tunza hii Post yangu kama Kumbukumbu Kwako na kwa Wengineo kwa nitakachokiandika hapa.

Ni kwamba CCM haitomtoa Askofu Gwajima kama Mbunge wake wa Kawe na atadumu hadi 2025.

Ukiniambia kuwa kuanzia 2025 Askofu Gwajima hawezi ( na asahau ) kuwa Mbunge nitakubali 100%.

CCM siyo Chama ambacho huwa kinakurupuka kufanya Maamuzi ya Kimihemko kama mtakavyo wengi.

Maamuzi mengi ya CCM huwa ni ya Kisayansi na Kitafiti zaidi Chama kisije Kuvurugika na Kujigawa pia.
 
Kwa wataalam wa siasa tunasema kuwa Mbunge wa Kawe bwana Gwajima ameshavuka red line na kinachofuata ni kutangazwa tu kuwa Jimbo lipo wazi.

Huenda hata asimalize huu mwezi akiwa mbunge kwani amepitiliza kuwa na sifa kuu za usaliti. Yani amepata mpaka sifa za ziada.

Gwajima kwa sasa ni ama aanzishe mpango wa kujiuzulu maana ni kama anahujumu mkakati wa serikali ambayo chama anachokiwakilisha ndicho kinachoiongoza.

Ninachojua ni kuwa CCM huwa ni waoga mno wa kuchukua hatua kwa wakati. Siyo kama Chadema ambamo ninaamini kuwa muda huu Gwajima angekuwa mbunge wa mahakama ya maccm.

Gwajima amewanyea viganja vyote viwili na bado anaelekeza gogo kinywani naamini akifika kinywani itawalazimu kumfukuza. Ninachojua ni lazima apeleke gogo kinywani.

Kina Mayalla naona wanaanza anza kupiga jaramba maana sisi Chadema hatutashiriki hicho kijiuchaguzi uchwara!
Akifukuzwa labda atalindwa na Ndugai kama Mdee na wenzake
 
Itakuwa uonezi..yeye anauliza hoja za kisomi sasa kwaninj hawajibu hoja zake?Haya ndo magufuri alikuwa akiuliza juu ya kuambiwa afanye lockdowan matokeo yake wakamuua. Kama walivua marais wengine waliohoji kama vile rais wa Hait..juzi haoa madagascar etc
nani ana muda huo? serikali ina mambo kibao ya kufanya badala ku shift antention kwa mtu ambao ana maswali ambayo si ya ki science.
 
Back
Top Bottom