Ni Taarifa gani nzuri au kitu kizuri ulishawahi kuipata/kupata ukamshukuru Mungu/Mwenyezi Mungu?

Ni Taarifa gani nzuri au kitu kizuri ulishawahi kuipata/kupata ukamshukuru Mungu/Mwenyezi Mungu?

Nilivyochomoa third attempt baada ya kuihairisha mwaka wa pili kwa kujifanya nimezimia naumwa vibaya sana ili kuepuka retake maana probation ilikuwa nzito kama jiwe

Nikaja ifanya mwaka wa mwisho in September confrance hapo wenzangu wanavimba washa graduates mapema sisi wa sup tunasubiri matokeo Siku nafungua account nicheki tokeo hapo chuo kimeisha nakuta kitu kipo clear muhuni wa Manzese nina bachelor tayari

Nikaenda nunua kischana (konyagi ) kubwa nikaingia magheton nikajifungia
Hongera sana mkuu, hapo kujifanyisha umezimia 😂😂 pepa lilikua gumu ama?
 
SIKU zote huwa namshukuru Mungu na kumtukuza ila siku nafika hospital naambiwa mpwnzi wangu amejifungua salama mtoto was kike,aisee nilimshukuru Sana Mungu maana kulikuwa na mitihani mingi Sana mpaka anajifungua salama salimini...Nilimuomba Sana Mungu (sikuwahi kuomba Kama siku ile) na Allah alinipa majibu..
Allahu Akbar
Mungu Mkubwa
 
Back
Top Bottom