financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
- Thread starter
-
- #61
Hongera sana mkuu, hapo kujifanyisha umezimia 😂😂 pepa lilikua gumu ama?Nilivyochomoa third attempt baada ya kuihairisha mwaka wa pili kwa kujifanya nimezimia naumwa vibaya sana ili kuepuka retake maana probation ilikuwa nzito kama jiwe
Nikaja ifanya mwaka wa mwisho in September confrance hapo wenzangu wanavimba washa graduates mapema sisi wa sup tunasubiri matokeo Siku nafungua account nicheki tokeo hapo chuo kimeisha nakuta kitu kipo clear muhuni wa Manzese nina bachelor tayari
Nikaenda nunua kischana (konyagi ) kubwa nikaingia magheton nikajifungia
Mercį lîndàThaKipanga mwenyewe, safi sana mkuu
We acha tu endapo ningelifanya badala ya kusoma miaka mitatu ningesoma minneHongera sana mkuu, hapo kujifanyisha umezimia [emoji23][emoji23] pepa lilikua gumu ama?
We don't pray enough, yet God still covers everything.Nilivyofaulu Form 6,
Nilivyochaguliwa Chuo Kikuu( hapa nilitoa hadi machozi ya furaha).
Mara nyingi tuu huwa namshukuru Mungu, hata kwa mambo ambayo ni ya kawaida.
Na mara kadhaa huwa simshukuru ( kwa kujisahau).
Amen, hongera kwa kukombolewa mkuuSiku ambayo sitoisahau ni ile niliyokutana na Kristo, tarehe 22/06 akaniondoa kutoka utumwa wa dhambi. Nina moyo wa shukrani mbele zake kila iitwapo leo.
JASUS IS LORD!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku ambayo sitoisahau ni ile niliyokutana na Kristo, tarehe 22/06 akaniondoa kutoka utumwa wa dhambi. Nina moyo wa shukrani mbele zake kila iitwapo leo.
JASUS IS LORD!
Kakombolewa wapi huyo ana ukabila mtupu angalia replies zake kwenye ule uzi wa wasukuma wanazaliana sanaAmen, hongera kwa kukombolewa mkuu