trisha cute
Senior Member
- Dec 1, 2020
- 194
- 608
- Thread starter
- #21
Its better ukaacha hii ndugu kabla miaka 30 haijakuhusuKudate Wavaa Uniform
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Its better ukaacha hii ndugu kabla miaka 30 haijakuhusuKudate Wavaa Uniform
Mwee[emoji50]Sina hata nachotaka kuacha vyote naenda navyo kama nguo tu
Doooh...hata kusema siwezi
Sina hata nachotaka kuacha vyote naenda navyo kama nguo tu
Dah!! Mimi hapa ntajitahdiChaputa sioni mwanachama wenu hata mmoja anaetaka kuondoka chamani mwaka huu
😂😂😂😂Usajili mpya watu wanaongezeka me ndo nikimbie.Chaputa sioni mwanachama wenu hata mmoja anaetaka kuondoka chamani mwaka huu
Chama kimeongeza sera na kinatoa posho nzuri kwa wanachama, Kuna haja gani ya kutoka????[emoji23][emoji23][emoji23]Chaputa sioni mwanachama wenu hata mmoja anaetaka kuondoka chamani mwaka huu
Aahysh mie naenda tu...yanini nijidanganye wakat uliobadilika ni mwaka siyo mie?Hata mimea hupukutisha majani ili kupiga hatua, wewe unaenda na kila kitu kama popo!
Kwa niaba yangu na wanajf wengine twakuomba mama sema tafadhari! Hii ni sehemu ya kujifunza tu leo kwako kesho kwangu so please sema Bibi weye.. 😎Doooh...hata kusema siwezi
Hahaha hutaki kustaafu na kuziachia damu changa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usajili mpya watu wanaongezeka me ndo nikimbie.
😂😂😂😂Usajili mpya watu wanaongezeka me ndo nikimbie.Chaputa sioni mwanachama wenu hata mmoja anaetaka kuondoka chamani mwaka huu
Hakuna kitu kama hicho lazima wapate uzoefuHahaha hutaki kustaafu na kuziachia damu changa?
Acha pombe wewe demuSina hata nachotaka kuacha vyote naenda navyo kama nguo tu
Mpaka Umeon nimeshindwa andika ujue..hata hakisemeki kwenye hadhara.Aibu ya nini sasa? Si ufunguke tu? [emoji12]