Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Nadhani hivi vitu vinaendana, ukiwa na utu lazima hasira uwe nazo za kutoshaUtu,....hii hasira waachane nayo
Sijui kwanini But all in all nashukuru utu wangu umechukua nafasi kubwa kuliko hasira...kuna muda naambiwa live "Dada Fulani unautu sana ila Mungu akusaidie kuondoa hivyo vihasira!" Kuna namna najisikia vibaya mno....nataka kunyooka kitabia yaan fullNadhani hivi vitu vinaendana, ukiwa na utu lazima hasira uwe nazo za kutosha
😎Ujasusi hii tabia waiige Tena waiige mapema kabla sijaondoka, kitasi kina lock 3 napiga lock 2 moja ya naiacha ili yakwamba akitokea mjanja anataka kunizidi akili akaingia ndani Mimi sipo huku nyuma akajisahau katika kutoka kwa Pupa akalock na ile moja ambayo hua naiacha ikiwa open najua kabisa hapa kuna boyanazi aliingia humu ndani Mimi hua nalock 2 tu moja naiacha
kukataa ndoa na kupiga nyetoNi tabia gani ambayo unayo unaisi wanao wakiwa nayo itawasaidia sana kwenye maisha yao?
kukataa ndoa na kupiga nyeto
Ujasusi hii tabia waiige Tena waiige mapema kabla sijaondoka, kitasi kina lock 3 napiga lock 2 moja ya naiacha ili yakwamba akitokea mjanja anataka kunizidi akili akaingia ndani Mimi sipo huku nyuma akajisahau katika kutoka kwa Pupa akalock na ile moja ambayo hua naiacha ikiwa open najua kabisa hapa kuna boyanazi aliingia humu ndani Mimi hua nalock 2 tu moja naiacha
Ndoa akatae na nyeto asipige mkuu unataka wajuba wampumulie?kukataa ndoa na kupiga nyeto
afande Rama alikua na ndoa, mke na watotoNdoa akatae na nyeto asipige mkuu unataka wajuba wampumulie?