mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Ujasusi hii tabia waiige Tena waiige mapema kabla sijaondoka, kitasi kina lock 3 napiga lock 2 moja ya naiacha ili yakwamba akitokea mjanja anataka kunizidi akili akaingia ndani Mimi sipo huku nyuma akajisahau katika kutoka kwa Pupa akalock na ile moja ambayo hua naiacha ikiwa open najua kabisa hapa kuna boyanazi aliingia humu ndani Mimi hua nalock 2 tu moja naiacha
Funguo unatoaje??au nayo inatoka kijasusi?