Ni Tabia gani unazo na ungependa Watoto wako warithi kutoka kwako?

Ni Tabia gani unazo na ungependa Watoto wako warithi kutoka kwako?

Ujasusi hii tabia waiige Tena waiige mapema kabla sijaondoka, kitasi kina lock 3 napiga lock 2 moja ya naiacha ili yakwamba akitokea mjanja anataka kunizidi akili akaingia ndani Mimi sipo huku nyuma akajisahau katika kutoka kwa Pupa akalock na ile moja ambayo hua naiacha ikiwa open najua kabisa hapa kuna boyanazi aliingia humu ndani Mimi hua nalock 2 tu moja naiacha

Funguo unatoaje??au nayo inatoka kijasusi?
 
Hivyo yaaan
Screenshot_20230503-123601.jpg
 
Rick boy huu Uzi akichangia mnitag[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hofu ya Mungu na kumpenda Mama yao kuliko chochote kama ninavyompenda Malkia wangu 'Bi Mkubwa'.
 
Kwa kuanza napenda kuwasalim kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania....
Bila ya shaka mu wazima wa afya ila kwa yoyote mwenye changamoto basi muumba wetu amfanyie wepesj katika jambo lake.

Moja kwa moja kwenye mada, watu wengi miongoni mwetu huwa na kitu ama tabia ambayo huwa mwenyewe haipendi na hatamani watu wake hususani watoto waifuate kutoka kwake.

Kwa mfano, miaka ya nyuma mwimbaji maarufu nchi Marekani maarufu kwa jina la Jay Z aliwahi kuulizwa katika moja ya interview ni kipi hapendi mwanae arithi zoka kwake, unajua nini ni kipi alijibu?. Bila kupepesa jamaa alisema hatamani mwanae hasa wa kike awe na lips [emoji182] kama zake.

Kwako mdau ni kipi hutamani mwanao akirithi toka kwako iwe ni muonekano au hata tabia..

#uzi ni picha

1200px-Jay-Z_%40_Shawn_'Jay-Z'_Carter_Foundation_Carnival_(crop_2).jpg
 
Tukiacha na mali ulizonazo, ni tabia gani ambazo unazo ungependa wanao warithi kutoka kwako?

Ni tabia gani ambayo unayo unaisi wanao wakiwa nayo itawasaidia sana kwenye maisha yao?

Mimi kwa upande wangu ningependa warithi, (UTU) hii kitu kwa upande wangu ninahisi ninayo sana vingine waachane navyo, watapotea najua jinsi vimenikosti.


Viongozi wenzang wa CCM hakuna hata mmoja anaweza kubali mwanae ardhi tabia yake.
 
Ujasusi hii tabia waiige Tena waiige mapema kabla sijaondoka, kitasi kina lock 3 napiga lock 2 moja ya naiacha ili yakwamba akitokea mjanja anataka kunizidi akili akaingia ndani Mimi sipo huku nyuma akajisahau katika kutoka kwa Pupa akalock na ile moja ambayo hua naiacha ikiwa open najua kabisa hapa kuna boyanazi aliingia humu ndani Mimi hua nalock 2 tu moja naiacha
Au sio
 
Back
Top Bottom