Ujasusi hii tabia waiige Tena waiige mapema kabla sijaondoka, kitasi kina lock 3 napiga lock 2 moja ya naiacha ili yakwamba akitokea mjanja anataka kunizidi akili akaingia ndani Mimi sipo huku nyuma akajisahau katika kutoka kwa Pupa akalock na ile moja ambayo hua naiacha ikiwa open najua kabisa hapa kuna boyanazi aliingia humu ndani Mimi hua nalock 2 tu moja naiacha
Ndio ni hicho mkuu?procrastination
NaAKAZIA.procrastination
Ni kweli ni kitu kibaya sana hadi uje ushtuke tayari too late aiseeprocrastination
Viongozi wenzang wa CCM hakuna hata mmoja anaweza kubali mwanae ardhi tabia yake.Tukiacha na mali ulizonazo, ni tabia gani ambazo unazo ungependa wanao warithi kutoka kwako?
Ni tabia gani ambayo unayo unaisi wanao wakiwa nayo itawasaidia sana kwenye maisha yao?
Mimi kwa upande wangu ningependa warithi, (UTU) hii kitu kwa upande wangu ninahisi ninayo sana vingine waachane navyo, watapotea najua jinsi vimenikosti.
Au sioUjasusi hii tabia waiige Tena waiige mapema kabla sijaondoka, kitasi kina lock 3 napiga lock 2 moja ya naiacha ili yakwamba akitokea mjanja anataka kunizidi akili akaingia ndani Mimi sipo huku nyuma akajisahau katika kutoka kwa Pupa akalock na ile moja ambayo hua naiacha ikiwa open najua kabisa hapa kuna boyanazi aliingia humu ndani Mimi hua nalock 2 tu moja naiacha
Tabia gani hiyoViongozi wenzang wa CCM hakuna hata mmoja anaweza kubali mwanae ardhi tabia yake.
.Kupenda kufanya mapenzi