John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Mmeanza WatanganyikaDuniani kuna taifa moja tu ambalo pasi na kushikiwa bunduki au mabomu wananchi wake pamoja na viongozi wake wameweka Sheria ya kukubali raia wa taifa jirani kuwa na haki ya kuwatawala. So far hilo taifa jirani halijaweka sheria ya kumruhusu raia wa taifa lolote kushika dhadhifa za kiuongozi.
Hata uongozi ngazi ya mtaa au kata wameuwekea SEAL.
Je, unalijua hilo taifa?
Litaje nikupe vocha ya elfu 2.