Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Kuna mambo mengi hutokea katika hivi viwanja vya mfumo wa kisiasa,kimsingi hua ni hitilafu/utata wa sheria au uvunjaji wa sheria unaofanya na moja watendaji wa kiserikali may be kwa kujua au kutokujua.
Kwa bahati mbaya zaidi,hutumiwa propaganda za wasanii,timu za mipira au uvunjaji wa sheria mwengine ili kuondosha sitomfahamu nyengine. IMAGINE
1.Waziri wa kilimo amekiuka sheria za ununuzi wa sukari/bidhaa kwa manufaa ya watu wengine na hakuna hata maelezo ya kimsingi yaliyotolewa na waziri.
2.Waziri anavunja sheria za kudharau mamlaka ya uchaguzi na kuwahakikishia wananchi kuwa fulani atakuwa mbunge wenu kwa hali yeyote.
3.Muwekezaji kukopwa na serikali ili kuendesha shughuli za kibiashara.
Kuna mambo ya ajabu kama hujayaona nchi yeyote,ukija Tanzania utakutana nayo.
Kwa bahati mbaya zaidi,hutumiwa propaganda za wasanii,timu za mipira au uvunjaji wa sheria mwengine ili kuondosha sitomfahamu nyengine. IMAGINE
1.Waziri wa kilimo amekiuka sheria za ununuzi wa sukari/bidhaa kwa manufaa ya watu wengine na hakuna hata maelezo ya kimsingi yaliyotolewa na waziri.
2.Waziri anavunja sheria za kudharau mamlaka ya uchaguzi na kuwahakikishia wananchi kuwa fulani atakuwa mbunge wenu kwa hali yeyote.
3.Muwekezaji kukopwa na serikali ili kuendesha shughuli za kibiashara.
Kuna mambo ya ajabu kama hujayaona nchi yeyote,ukija Tanzania utakutana nayo.