Ni text Gani ukiiona unajua unachat na fala?

Ni text Gani ukiiona unajua unachat na fala?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Me naanza
1. Xaxa, vp, p, xkul
Hapo Huwa sijibu tena

2. Kuniita boss
Unaniitaje boss wakati sikulipi, hapo najua ni fala

3 Ela za UNICEF umeziona
Hapo sijibu najua hili si fala tu Bali farasi

4 Dear nikawambie kitu
Hasa sms ukitoka jinsia ya kike Huwa najua hili ni zwazwa

5 Mwanaume kunitumia sms za usiku mwema
Huwa sijibu najua fala tu hili

6 Brother tukutane unitoe hata bia mbili
Hapa najua kabisa hili fala

7 Nambie
Unitafute wewe halafu unitake nikawambie Mimi, hapo Huwa sijibu

8. Kukumbushana habari za shule
Nikutane au jitu linitafute uanze kunikumbusha habari ya mwalimu wa form 2 tuliisoma 2007, Huwa sijibu

9. SMS kutoka namba mpya unamuuliza nani? Anaanza kukwambia kumbe ulifuta namba yangu Huwa sijibu
 
Me naanza
1. Xaxa, vp, p, xkul
Hapo Huwa sijibu tena

2. Kuniita boss
Unaniitaje boss wakati sikulipi, hapo najua ni fala

3 Ela za UNICEF umeziona
Hapo sijibu najua hili si fala tu Bali farasi

4 Dear nikawambie kitu
Hasa sms ukitoka jinsia ya kike Huwa najua hili ni zwazwa

5 Mwanaume kunitumia sms za usiku mwema
Huwa sijibu najua fala tu hili

6 Brother tukutane unitoe hata bia mbili
Hapa najua kabisa hili fala

7 Nambie
Unitafute wewe halafu unitake nikawambie Mimi, hapo Huwa sijibu

8. Kukumbushana habari za shule
Nikutane au jitu linitafute uanze kunikumbusha habari ya mwalimu wa form 2 tuliisoma 2007, Huwa sijibu

9. SMS kutoka namba mpya unamuuliza nani? Anaanza kukwambia kumbe ulifuta namba yangu Huwa sijibu
Na hili la kusema au kuandika neno ''now'' kwenye maelezo ya kiswahili utadhani kina Pwaguzi. Kina waguzi walikuwa wanasema ''now usiende ....
 
Me naanza
1. Xaxa, vp, p, xkul
Hapo Huwa sijibu tena

2. Kuniita boss
Unaniitaje boss wakati sikulipi, hapo najua ni fala

3 Ela za UNICEF umeziona
Hapo sijibu najua hili si fala tu Bali farasi

4 Dear nikawambie kitu
Hasa sms ukitoka jinsia ya kike Huwa najua hili ni zwazwa

5 Mwanaume kunitumia sms za usiku mwema
Huwa sijibu najua fala tu hili

6 Brother tukutane unitoe hata bia mbili
Hapa najua kabisa hili fala

7 Nambie
Unitafute wewe halafu unitake nikawambie Mimi, hapo Huwa sijibu

8. Kukumbushana habari za shule
Nikutane au jitu linitafute uanze kunikumbusha habari ya mwalimu wa form 2 tuliisoma 2007, Huwa sijibu

9. SMS kutoka namba mpya unamuuliza nani? Anaanza kukwambia kumbe ulifuta namba yangu Huwa sijibu
Na kuitwa 'kiongozi' je?
 
Back
Top Bottom