Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Binafsi hata nikiwa vip huwa sipendi kutukuzwa au kusifiwa na binadamu
Akili hawana hao usiwateteehii miandiko inakera ila isikufanye udharau mtu
kuna watu hawana mazoea ya kuandika vizuri kwenye simu, sawa inaweza ikawa ni ulimbukeni, lakini haimaanishi hawana akili
Xawa tumekulewa bossMe naanza
1. Xaxa, vp, p, xkul
Hapo Huwa sijibu tena
2. Kuniita boss
Unaniitaje boss wakati sikulipi, hapo najua ni fala
3 Ela za UNICEF umeziona
Hapo sijibu najua hili si fala tu Bali farasi
4 Dear nikawambie kitu
Hasa sms ukitoka jinsia ya kike Huwa najua hili ni zwazwa
5 Mwanaume kunitumia sms za usiku mwema
Huwa sijibu najua fala tu hili
6 Brother tukutane unitoe hata bia mbili
Hapa najua kabisa hili fala
7 Nambie
Unitafute wewe halafu unitake nikawambie Mimi, hapo Huwa sijibu
8. Kukumbushana habari za shule
Nikutane au jitu linitafute uanze kunikumbusha habari ya mwalimu wa form 2 tuliisoma 2007, Huwa sijibu
9. SMS kutoka namba mpya unamuuliza nani? Anaanza kukwambia kumbe ulifuta namba yangu Huwa sijibu
Huyu jamaa ni kichaaMe naanza
1. Xaxa, vp, p, xkul
Hapo Huwa sijibu tena
2. Kuniita boss
Unaniitaje boss wakati sikulipi, hapo najua ni fala
3 Ela za UNICEF umeziona
Hapo sijibu najua hili si fala tu Bali farasi
4 Dear nikawambie kitu
Hasa sms ukitoka jinsia ya kike Huwa najua hili ni zwazwa
5 Mwanaume kunitumia sms za usiku mwema
Huwa sijibu najua fala tu hili
6 Brother tukutane unitoe hata bia mbili
Hapa najua kabisa hili fala
7 Nambie
Unitafute wewe halafu unitake nikawambie Mimi, hapo Huwa sijibu
8. Kukumbushana habari za shule
Nikutane au jitu linitafute uanze kunikumbusha habari ya mwalimu wa form 2 tuliisoma 2007, Huwa sijibu
9. SMS kutoka namba mpya unamuuliza nani? Anaanza kukwambia kumbe ulifuta namba yangu Huwa sijibu
Tuna judge sana haya mambo ya uandishi lkn hata kwenye lugha kubwa duniani kama english ina short words nyingi tu kwenye uandishi wa sms. Mfano:Akiwa anatumia neno 'Ko' eti ndyo anamaanisha 'Kwa hiyo' .. Huwa sichati naye tena naona hili hamnazo.
Mi piaMe naanza
1. Xaxa, vp, p, xkul
Hapo Huwa sijibu tena
2. Kuniita boss
Unaniitaje boss wakati sikulipi, hapo najua ni fala
3 Ela za UNICEF umeziona
Hapo sijibu najua hili si fala tu Bali farasi
4 Dear nikawambie kitu
Hasa sms ukitoka jinsia ya kike Huwa najua hili ni zwazwa
5 Mwanaume kunitumia sms za usiku mwema
Huwa sijibu najua fala tu hili
6 Brother tukutane unitoe hata bia mbili
Hapa najua kabisa hili fala
7 Nambie
Unitafute wewe halafu unitake nikawambie Mimi, hapo Huwa sijibu
8. Kukumbushana habari za shule
Nikutane au jitu linitafute uanze kunikumbusha habari ya mwalimu wa form 2 tuliisoma 2007, Huwa sijibu
9. SMS kutoka namba mpya unamuuliza nani? Anaanza kukwambia kumbe ulifuta namba yangu Huwa sijibu
Hii inakera sana kuna Fala mmoja tulisoma nae Chuo yani yeye kila akiniona tu ni story za Chuo tu...ubaya njia ya kuludia Home ndo karbu na kwao,8. Kukumbushana habari za shule
Nikutane au jitu linitafute uanze kunikumbusha habari ya mwalimu wa form 2 tuliisoma 2007, Huwa sijibu