Ni text Gani ukiiona unajua unachat na fala?

1. Xaxa, vp, p, xkul
Hapo Huwa sijibu tena

UMEWAZA SANA
 
Hongera ndugu kwa kujipata na kujitambua. Kuchat kwa SMS ni ujinga. Ukiona mtu anakutumia SMS fupifupi ambazo hazina maelezo yenye tija ujue anakuona wewe ni fala.
 

Hapo umezungumia Abbreviations na sio kufupisha hapa wanaongelea kufupisha na sio ku abbreviate maneno

Anayeandika Idk kumaanisha I don’t know anaeleweka kua amefupisha tofauti na anaye andika i dnt knw
 
Hii inakera sana kuna Fala mmoja tulisoma nae Chuo yani yeye kila akiniona tu ni story za Chuo tu...ubaya njia ya kuludia Home ndo karbu na kwao,

Yani siku hizi amenifanya nibadilishe Route nazunguka kweli ili kumkwepa Mshenzi yule.
.


Kulidia ....wale wale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…