WoyooooooYanga Yanga Yanga....natamani ifungwe kila inapocheza ikiwezekana ishuke hadi daraja.
Ahaaaaaa kumbe nawe mwana JangwaniπππππMie simba tu jamaani na kama ile game ya mwisho alipofungwa na Kagera Sugar mbele ya Jiwe basi moyo wangu uliburudika hatari.
(Mnisamehe mikia ndio furaha yangu hiyo) Teh teh teh
Hawa jama marehemu tayari, bado kuwafanyia 40 tuMANCHESTER UNITED [emoji23][emoji23]
Mie simba tu jamaani na kama ile game ya mwisho alipofungwa na Kagera Sugar mbele ya Jiwe basi moyo wangu uliburudika hatari.
(Mnisamehe mikia ndio furaha yangu hiyo) Teh teh teh
Yaaani. Nilishiba siku ile sikuwa na haja ya kula tena. ππππ[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ile gemu tamu sana
Yaaani. Nilishiba siku ile sikuwa na haja ya kula tena. ππππ
Yaani tena kalivunjwa kwa aibu ya mwaka. ππππ[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utani wa ngumi huoo,kale karekodi kalivunjiliwa mbali
Yaani tena kalivunjwa kwa aibu ya mwaka. ππππ