Kama una watoto ndani, umakini unahitajika sana, hasa chumba chao wanacho lala,Ila kesi nyingi za moto hasa maeneo ya nje ya miji chanzo ni watoto kuchezea moto. Kuna mtoto alikuwa anatafuta kiatu uvunguni aliingia na kisosi chenye mshumaa, alivyopata kiatu akaacha mshumaa ukawaka ukakamata godoro wanakuja kushtuka ilikuwa too late nyumba ikateketea yote.
Hakika hili ni lakuzingatia, hata vifaa vya umeme n hatari piaKama una watoto ndani, umakini unahitajika sana, hasa chumba chao wanacho lala,
Pole sana mkuu, May their soul R I PMy parents death, yote yametokea nipo shule.
Ni vifo vya ghafla
Kweli mkuu, haya mambo hayazuiliki kutokea. Kwa upeo wetu wa kibinadamu kuna muda tunaona tunaweza zuia lakini sio haiwezekani.Vifo na magonjwa ni matukio ambayo huwa kama binadamu yakitokea huwa tunatamani laiti tungekuwapo huenda tungebadili matokeo. Ila ndio ufundi wa mwenyezi Mungu kutufumba yajayo.
😂😂 sema huku bongo mbona ayaanguki? Huku hata yakianguka gari litakutwa tupu na hazikutoka nje.😅😅😅, ukitaka uwini hapo, lazima uwe na gundi
Walizi wenyewe ni wezi, bongo ni balaa sana,😂😂 sema huku bongo mbona ayaanguki? Huku hata yakianguka gari litakutwa tupu na hazikutoka nje.
Rafiki yangu alipata ajali ya gari. Akawaambiwa waliomukoa watizame simu yake wampigie simu mkewe na mimi. Mkewe nae akanijulisha kuwa ameongea na jamaa anasisitiza twende hospitali. Tulienda ingawa kwa kuchelewa kama saa moja. Sikufanikiwa kuongea. Na siku hiyo hiyo alifariki dunia. Maumivu aliyoniachia sijawahi yafananisha na chochote. Hua natamani laiti ningewahi hospitali siku hiyo utafikiri kuna vitu vya ziada ningeweza fanya kugeuza matokeo. Sababu huduma alipata. Ila ndio hivo aliumia viuongo vya ndani.Kweli mkuu, haya mambo hayazuiliki kutokea. Kwa upeo wetu wa kibinadamu kuna muda tunaona tunaweza zuia lakini sio haiwezekani.
Pole sana broRafiki yangu alipata ajali ya gari. Akawaambiwa waliomukoa watizame simu yake wampigie simu mkewe na mimi. Mkewe nae akanijulisha kuwa ameongea na jamaa anasisitiza twende hospitali. Tulienda ingawa kwa kuchelewa kama saa moja. Sikufanikiwa kuongea. Na siku hiyo hiyo alifariki dunia. Maumivu aliyoniachia sijawahi yafananisha na chochote. Hua natamani laiti ningewahi hospitali siku hiyo utafikiri kuna vitu vya ziada ningeweza fanya kugeuza matokeo. Sababu huduma alipata. Ila ndio hivo aliumia viuongo vya ndani.
Shukrani mkuu.Pole sana bro
AmeenPole sana mkuu, May their soul R I P
That you havent come across any situation that you havent never wished it would have gone down the other way around? Looks like you are in plain denial if you a mortal just like the rest of us.Personally, sijawahi jutia chochote pia nimeiambia nafsi yangu kutojutia chochote ni kuchosha moyo na akili
Live in the moment, cherish the past embrace the future 🙏
Pole sana inauma nilipoteza rafiki piaRafiki yangu alipata ajali ya gari. Akawaambiwa waliomukoa watizame simu yake wampigie simu mkewe na mimi. Mkewe nae akanijulisha kuwa ameongea na jamaa anasisitiza twende hospitali. Tulienda ingawa kwa kuchelewa kama saa moja. Sikufanikiwa kuongea. Na siku hiyo hiyo alifariki dunia. Maumivu aliyoniachia sijawahi yafananisha na chochote. Hua natamani laiti ningewahi hospitali siku hiyo utafikiri kuna vitu vya ziada ningeweza fanya kugeuza matokeo. Sababu huduma alipata. Ila ndio hivo aliumia viuongo vya ndani.
Shukrani mkuu, pole nawe pia. Rafiki anauma kama vile ndugu wa damu.Pole sana inauma nilipoteza rafiki pia
Pole sana mkuuOh yeah nina imani members wataleta kama hiyo.
Had a car crash aiseeh,now naugulia maumivu.
Wamerithi kwenye mfumo wao ni mwendo wa kukwapua, wanajiibia had wao wenyeweWalizi wenyewe ni wezi, bongo ni balaa sana,
Pole sana mkuu huenda alikuwa na maelekezo muhimu sana alitaka akushirikishe.Rafiki yangu alipata ajali ya gari. Akawaambiwa waliomukoa watizame simu yake wampigie simu mkewe na mimi. Mkewe nae akanijulisha kuwa ameongea na jamaa anasisitiza twende hospitali. Tulienda ingawa kwa kuchelewa kama saa moja. Sikufanikiwa kuongea. Na siku hiyo hiyo alifariki dunia. Maumivu aliyoniachia sijawahi yafananisha na chochote. Hua natamani laiti ningewahi hospitali siku hiyo utafikiri kuna vitu vya ziada ningeweza fanya kugeuza matokeo. Sababu huduma alipata. Ila ndio hivo aliumia viuongo vya ndani.
Ulitaka ushiriki?Jana hapa mtaani kwetu kuna bwabwa limebakwa na vidume kama 6,hivi me nilikua bandani nachek mechi....
Taarifa ziliponifikia nililaumu mnoo