cassim abed
Member
- Jul 12, 2015
- 13
- 5
Setti g
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeamua kuharibuNaombeni msaada wenu. Nashindwa procedures za ku -upload profile picture.
Nisaidieni
Kweli SLAA anawatesa. bahati mbaya
ndio mgombea wa UKAWA. Na mgombea mwenza ni Juma Haji Duni. Mna kazi CCM mwaka huu!
WANABODI,
Kwa kuwa ccm wamemchagua Magufuli kuwakilisha CCM kuwania uraisi, kwa mbali naona MTU anayeweza kuwaunganisha UKAWA kiurahisi ni TUNDU LISU. REASONS, loading...
UKAWA chonde chonde tuleteeni Lissu.
Juma haji duni kahamia chadema:what::what:
Hajachoka mkuu ila anaweza kuchoka wakati wowote, umri umesonga.Kwahiyo Chadema mnakiri kwamba Slaa kachoka au!!??
Ta Muganyizi Ni kweli mkuu watu wengi hata wasio na imani na ccm wana imani na Magufuli.
Not confirmed mkuu.
Je huyo lisu anakubali kugombea?
Nimemuuliza huyo maana amesema juma haji duni atakuwa mgombea mwenza wa Dr slaa sa sijui anafuatilia vipi siasa kama hasomi hata katiba
Magufuli hana lolote mbona jimboni kwake tumegaragaza serikali za mtaa.wala tusirud nyuma