Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
😆😆😆Mzee hakunaga neno "Hitted" kwenye English ni Hit, hitting, hit , hit. Basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Mzee hakunaga neno "Hitted" kwenye English ni Hit, hitting, hit , hit. Basi.
Ukitaka kujua wanawake ni wengi kuliko wanaume usitazame mabinti ambao wapo kwenye age ya ubichi yaani miaka 16 hadi 26. Tazama wanawake walionza kuwa namba D na namba C. Age kuanzia 27 kuendelea utaona idadi kubwa ya wasimbe wanaofosi ndoa na wapo tayari hata kuolewa na mume wa mtu na hawapatikani hao wanaume wa kuwaoa.Mzee cheza na statistics nilizoweka hapo na reality DUNIA Huko watu wanacheza na namba wanalete hitimizo sio maneno matupu
Kiingereza hiki aseeee kmmkMe? I knew what i was spoken. And you didnt understand how to spoke swahili, sio HEBU chutama, ni embu chutama Unakosoa kingereza kwa kiswahili huku hukijui?
Tatizo lipo wapi? Is it your brain dont understood? What where you when we was educating? Jifunze boss, mbona sisi tumeweza?Kiingereza hiki aseeee kmmk
Tatizo takwimu zako ni za kubumba.....Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake. Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla. Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni 49.6% world wide.
Roughly unaweza kusema idadi ya wanawake na wanaume ni sawà japo Kuna deviation kidogo kwenye idadi.
Ukienda jela wanaume ni wengi, so hii inazid kutengeneza balance kwenye idadi. Manake ni kwamba kwa kila mwanaume mmoja anaingia mwanamke mmoja pia.
Simply ukioa wake wawili umekinzana na nature reflection yake Kuna mwanaume sehemu atakosa MKE directly. Possibility ya huyo Mwanaume kua gasho ni kubwa.
Ni vile tu thinking capacity ya majority of Africa iko chini Ila polygamy ni ubinafsi wa kijiangalia wewe pasi kuangalia maslahi ya watu wengine na future.
Imagine mwanaume anaoa wake 4 anajitapa chukulia kila mwanaume angefanya hivyo, then what Will happen next.
Tumia logics and facts kama Solomon alioa wake 1000 hii ilitokea kwa sababu ya namba za wanawake zilikua kubwa japo biblia hajia thibitisha.
We Muha acha ubishi usio na faida, unajiaibisha bila kujua hujui chochote.Kama huelewi kingereza it hasn't my problem. Hitted is english.
What were you when we was educating? [emoji777] Where were you when we were being given an education? [emoji736]Tatizo lipo wapi? Is it your brain dont understood? What where you when we was educating? Jifunze boss, mbona sisi tumeweza?
Umepambana mkuu.We Muha acha ubishi usio na faida, unajiaibisha bila kujua hujui chochote.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.View attachment 2989478
Tupe elimu, tupe elimu. Engish is so troublesum.What were you when we was educating? [emoji777] Where were you when we were being given an education? [emoji736]
Linguists karibuni kutusahihisha maana hii lugha si mother toung bali ni the most international language [emoji4]
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Anyday anytime 💕
Hivi sikuhizi na mambumbu kama nyinyi pia mnaruhusiwa kufanya research?Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake. Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla. Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni 49.6% world wide.
Roughly unaweza kusema idadi ya wanawake na wanaume ni sawà japo Kuna deviation kidogo kwenye idadi.
Ukienda jela wanaume ni wengi, so hii inazid kutengeneza balance kwenye idadi. Manake ni kwamba kwa kila mwanaume mmoja anaingia mwanamke mmoja pia.
Simply ukioa wake wawili umekinzana na nature reflection yake Kuna mwanaume sehemu atakosa MKE directly. Possibility ya huyo Mwanaume kua gasho ni kubwa.
Ni vile tu thinking capacity ya majority of Africa iko chini Ila polygamy ni ubinafsi wa kijiangalia wewe pasi kuangalia maslahi ya watu wengine na future.
Imagine mwanaume anaoa wake 4 anajitapa chukulia kila mwanaume angefanya hivyo, then what Will happen next.
Tumia logics and facts kama Solomon alioa wake 1000 hii ilitokea kwa sababu ya namba za wanawake zilikua kubwa japo biblia hajia thibitisha.
Ukitaka kujua wanawake ni wengi kuliko wanaume usitazame mabinti ambao wapo kwenye age ya ubichi yaani miaka 16 hadi 26. Tazama wanawake walionza kuwa namba D na namba C. Age kuanzia 27 kuendelea utaona idadi kubwa ya wasimbe wanaofosi ndoa na wapo tayari hata kuolewa na mume wa mtu na hawapatikani hao wanaume wa kuwaoa.
Sasa namba zako sijui kama zinatazama huo upande.
Not reallyHivi sikuhizi na mambumbu kama nyinyi pia mnaruhusiwa kufanya research?
Maana factor zote zinapingana na research yako
Biological factors zinakubali kuwa wanawake ni wengi Kwa sababu Y Ina uwezo wa kusavaivu kuliko X
Political factor pia inakubali kuwa wanakufa wengi ni wanaume kuliko wanawake rejea vita ya Kagera na haya yanayoendelea Kongo Kwa Sasa Kila siku wanajeshi wetu wanakufa na kuacha wajane
Economic factors pia zinakubali kuwa wanakufa katika shughuli za kutafuta maisha wengi ni wanaume rejea ajali zinazotekea katika maeneo ya kazi na usafiri
Tongue sio toungWhat were you when we was educating? [emoji777] Where were you when we were being given an education? [emoji736]
Linguists karibuni kutusahihisha maana hii lugha si mother toung bali ni the most international language [emoji4]
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.