Ni ubinafsi kuoa mke zaidi ya mmoja kwasababu kuna wanaume watakosa kwa upungufu wa wanawake

Ni ubinafsi kuoa mke zaidi ya mmoja kwasababu kuna wanaume watakosa kwa upungufu wa wanawake

Mzee cheza na statistics nilizoweka hapo na reality DUNIA Huko watu wanacheza na namba wanalete hitimizo sio maneno matupu
Ukitaka kujua wanawake ni wengi kuliko wanaume usitazame mabinti ambao wapo kwenye age ya ubichi yaani miaka 16 hadi 26. Tazama wanawake walionza kuwa namba D na namba C. Age kuanzia 27 kuendelea utaona idadi kubwa ya wasimbe wanaofosi ndoa na wapo tayari hata kuolewa na mume wa mtu na hawapatikani hao wanaume wa kuwaoa.

Sasa namba zako sijui kama zinatazama huo upande.
 
Me? I knew what i was spoken. And you didnt understand how to spoke swahili, sio HEBU chutama, ni embu chutama Unakosoa kingereza kwa kiswahili huku hukijui?
Kiingereza hiki aseeee kmmk
 
Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake. Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla. Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni 49.6% world wide.

Roughly unaweza kusema idadi ya wanawake na wanaume ni sawà japo Kuna deviation kidogo kwenye idadi.

Ukienda jela wanaume ni wengi, so hii inazid kutengeneza balance kwenye idadi. Manake ni kwamba kwa kila mwanaume mmoja anaingia mwanamke mmoja pia.

Simply ukioa wake wawili umekinzana na nature reflection yake Kuna mwanaume sehemu atakosa MKE directly. Possibility ya huyo Mwanaume kua gasho ni kubwa.

Ni vile tu thinking capacity ya majority of Africa iko chini Ila polygamy ni ubinafsi wa kijiangalia wewe pasi kuangalia maslahi ya watu wengine na future.

Imagine mwanaume anaoa wake 4 anajitapa chukulia kila mwanaume angefanya hivyo, then what Will happen next.

Tumia logics and facts kama Solomon alioa wake 1000 hii ilitokea kwa sababu ya namba za wanawake zilikua kubwa japo biblia hajia thibitisha.
Tatizo takwimu zako ni za kubumba.....
 
Nenda shule za misingi ukangalie idadi ya wasichana vs wavulana,kisha nenda hospital yyte angalia idadi ya watoto waliozaliwa siku hiyo wangapi ke na wangapi me
 
Kama huelewi kingereza it hasn't my problem. Hitted is english.
We Muha acha ubishi usio na faida, unajiaibisha bila kujua hujui chochote.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Screenshot_2024-05-13-19-46-58-64_680d03679600f7af0b4c700c6b270fe7.jpg
 
Tatizo lipo wapi? Is it your brain dont understood? What where you when we was educating? Jifunze boss, mbona sisi tumeweza?
What were you when we was educating? [emoji777] Where were you when we were being given an education? [emoji736]
Linguists karibuni kutusahihisha maana hii lugha si mother toung bali ni the most international language [emoji4]

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
What were you when we was educating? [emoji777] Where were you when we were being given an education? [emoji736]
Linguists karibuni kutusahihisha maana hii lugha si mother toung bali ni the most international language [emoji4]

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Tupe elimu, tupe elimu. Engish is so troublesum.
 
Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake. Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla. Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni 49.6% world wide.

Roughly unaweza kusema idadi ya wanawake na wanaume ni sawà japo Kuna deviation kidogo kwenye idadi.

Ukienda jela wanaume ni wengi, so hii inazid kutengeneza balance kwenye idadi. Manake ni kwamba kwa kila mwanaume mmoja anaingia mwanamke mmoja pia.

Simply ukioa wake wawili umekinzana na nature reflection yake Kuna mwanaume sehemu atakosa MKE directly. Possibility ya huyo Mwanaume kua gasho ni kubwa.

Ni vile tu thinking capacity ya majority of Africa iko chini Ila polygamy ni ubinafsi wa kijiangalia wewe pasi kuangalia maslahi ya watu wengine na future.

Imagine mwanaume anaoa wake 4 anajitapa chukulia kila mwanaume angefanya hivyo, then what Will happen next.

Tumia logics and facts kama Solomon alioa wake 1000 hii ilitokea kwa sababu ya namba za wanawake zilikua kubwa japo biblia hajia thibitisha.
Hivi sikuhizi na mambumbu kama nyinyi pia mnaruhusiwa kufanya research?

Maana factor zote zinapingana na research yako

Biological factors zinakubali kuwa wanawake ni wengi Kwa sababu Y Ina uwezo wa kusavaivu kuliko X

Political factor pia inakubali kuwa wanakufa wengi ni wanaume kuliko wanawake rejea vita ya Kagera na haya yanayoendelea Kongo Kwa Sasa Kila siku wanajeshi wetu wanakufa na kuacha wajane

Economic factors pia zinakubali kuwa wanakufa katika shughuli za kutafuta maisha wengi ni wanaume rejea ajali zinazotekea katika maeneo ya kazi na usafiri
 
Huwez kupima kwa macho
Ukitaka kujua wanawake ni wengi kuliko wanaume usitazame mabinti ambao wapo kwenye age ya ubichi yaani miaka 16 hadi 26. Tazama wanawake walionza kuwa namba D na namba C. Age kuanzia 27 kuendelea utaona idadi kubwa ya wasimbe wanaofosi ndoa na wapo tayari hata kuolewa na mume wa mtu na hawapatikani hao wanaume wa kuwaoa.

Sasa namba zako sijui kama zinatazama huo upande.

Hivi sikuhizi na mambumbu kama nyinyi pia mnaruhusiwa kufanya research?

Maana factor zote zinapingana na research yako

Biological factors zinakubali kuwa wanawake ni wengi Kwa sababu Y Ina uwezo wa kusavaivu kuliko X

Political factor pia inakubali kuwa wanakufa wengi ni wanaume kuliko wanawake rejea vita ya Kagera na haya yanayoendelea Kongo Kwa Sasa Kila siku wanajeshi wetu wanakufa na kuacha wajane

Economic factors pia zinakubali kuwa wanakufa katika shughuli za kutafuta maisha wengi ni wanaume rejea ajali zinazotekea katika maeneo ya kazi na usafiri
Not really
 
Wewe kama ni shoga usitafute visingizio.Kwenye nchi za kiislamu ambako wanaume wanaoa zaidi ya mke mmoja umewahi kusikia kuna mwanaume amekosa mke?
Kipindi cha mababu walipokuwa wanaoa ndoa za mitala umewahi kusikia kuna mtu alikosa mke?
TAKATAKA
 
Back
Top Bottom