Ni udhaifu mkubwa sana Man Utd kupaki basi dakika 80 nzima.

Ni udhaifu mkubwa sana Man Utd kupaki basi dakika 80 nzima.

Hope mpo swalama,

Kwa mlioangalia mpira nadhani mnaelewa mpira mmbovu manchester united alioucheza licha ya kushinda.

Timu kubwa kama man c ya kupaki basi na kulimg'oa matairi mda wote ule.
Sometime Arsenal inafungwa ila mpira mzuri inaocheza kama ipo Lamasia unawafanya mashabiki wake tubaki.

Hivi niwaulize mashabiki wa Man Utd mshawahigi kuinjoy mpira mzuri kweli??!
Kweli mkuu ingawa tumeshinda ila mpira mbovu kweli. Ushindi wa kubahatisha mie siupendagi kabisa. Ila nanyie Arsenal mjifunze kwa Barca anakugongea mpira na anakupa goli za kutosha
 
Hope mpo swalama,

Kwa mlioangalia mpira nadhani mnaelewa mpira mmbovu manchester united alioucheza licha ya kushinda.

Timu kubwa kama man c ya kupaki basi na kulimg'oa matairi mda wote ule.
Sometime Arsenal inafungwa ila mpira mzuri inaocheza kama ipo Lamasia unawafanya mashabiki wake tubaki.

Hivi niwaulize mashabiki wa Man Utd mshawahigi kuinjoy mpira mzuri kweli??!
Hapana mkuu
 
Hope mpo swalama,

Kwa mlioangalia mpira nadhani mnaelewa mpira mmbovu manchester united alioucheza licha ya kushinda.

Timu kubwa kama man c ya kupaki basi na kulimg'oa matairi mda wote ule.
Sometime Arsenal inafungwa ila mpira mzuri inaocheza kama ipo Lamasia unawafanya mashabiki wake tubaki.

Hivi niwaulize mashabiki wa Man Utd mshawahigi kuinjoy mpira mzuri kweli??!
Mkuu, bila shaka umekuwa "entertained" sana na game ya Arsenal dhidi ya Westham jana usiku.

Arsenal walipiga pasi sana na kupossess 70% na kuambulia sare na pointi moja.

Ni kweli kuremba kuna ladha yake, lakini kuremba bila ushindi hiyo wanaelewa Arsenal tu.
 
kwa tim man waliyonayo hata bila kupak bus wanashinda sema mo fala tu
 
tim kubwa ka united sio ya kupak bus kwa Bournemouth
 
Hope mpo swalama,

Kwa mlioangalia mpira nadhani mnaelewa mpira mmbovu manchester united alioucheza licha ya kushinda.

Timu kubwa kama man c ya kupaki basi na kulimg'oa matairi mda wote ule.
Sometime Arsenal inafungwa ila mpira mzuri inaocheza kama ipo Lamasia unawafanya mashabiki wake tubaki.

Hivi niwaulize mashabiki wa Man Utd mshawahigi kuinjoy mpira mzuri kweli??!
C = si = sio???
 
Mkuu, bila shaka umekuwa "entertained" sana na game ya Arsenal dhidi ya Westham jana usiku.

Arsenal walipiga pasi sana na kupossess 70% na kuambulia sare na pointi moja.

Ni kweli kuremba kuna ladha yake, lakini kuremba bila ushindi hiyo wanaelewa Arsenal tu.
Man City na Barcelona wanaremba na wanashinda
 
Back
Top Bottom