goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Tunashukuru toluYanga imekosa striker kama huyo kwa muda wa misimu minne.
Hongera kwa scout aliyeona hiki kipaji
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunashukuru toluYanga imekosa striker kama huyo kwa muda wa misimu minne.
Hongera kwa scout aliyeona hiki kipaji
Mara hajakutana na beki kama ya azam. Mara hakuna timu yenye ukuta mgum nbc sasa sijui hao mabek wa azam wako ligi gan[emoji16][emoji16][emoji3]Hamna kitu Pale. Hajakutana na Beki kama ya Azamu. Mweupe sana. Sema hamna team yenye ukuta mgumu Kwa ligi ya NBC
Kaka mkubwa binafsi mpaka sasa sijamuona mshambuliaji hatari kama Louise Miqson, na hakuna mashambuliaji kwenye ligi hii ya kibongo mpaka sasa aliyevunja rekodi yake sio kwa play consistency wala bei aliyouzwa sokoni baki na mayele wako. am out!! 😂😂 😂 😂Kwa miaka Mitatu hadi Mitano ijayo hakutatokea Mshambuliaji ambaye ni Complete Package katika hii NBC Premier League kama Fiston Kalala Mayele GENTAMYCINE.
Namkubali mno na Ninampenda.
Oooh! kameandika ila moyoni kanaumiaKaka mkubwa binafsi mpaka sasa sijamuona mshambuliaji hatari kama Louise Miqson, na hakuna mashambuliaji kwenye ligi hii ya kibongo mpaka sasa aliyevunja rekodi yake sio kwa play consistency wala bei aliyouzwa sokoni baki na mayele wako. am out!! [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
🤣🤣🤣🤣OKW BOBAN SUNZU akiona hiki ulichokiandika, anaweza kukunasa vibao. Kwake yeye Kibu Denis ndiyo mshambuliaji bora kabisa kwenye ligi yetu.
Kaka mkubwa binafsi mpaka sasa sijamuona mshambuliaji hatari kama Louise Miqson, na hakuna mashambuliaji kwenye ligi hii ya kibongo mpaka sasa aliyevunja rekodi yake sio kwa play consistency wala bei aliyouzwa sokoni baki na mayele wako. am out!! 😂😂 😂 😂
Kwa miaka Mitatu hadi Mitano ijayo hakutatokea Mshambuliaji ambaye ni Complete Package katika hii NBC Premier League kama Fiston Kalala Mayele GENTAMYCINE.
Namkubali mno na Ninampenda.
Ha ha ha ha Okwi boban suzu amerogwa yuleOKW BOBAN SUNZU akiona hiki ulichokiandika, anaweza kukunasa vibao. Kwake yeye Kibu Denis ndiyo mshambuliaji bora kabisa kwenye ligi yetu.
Hapo mtani nimekukubali kwa kuwa muwazi.Kwa miaka Mitatu hadi Mitano ijayo hakutatokea Mshambuliaji ambaye ni Complete Package katika hii NBC Premier League kama Fiston Kalala Mayele GENTAMYCINE.
Namkubali mno na Ninampenda.
Hao Azam msimu uliopita kawagonga game zote mbiliHamna kitu Pale. Hajakutana na Beki kama ya Azamu. Mweupe sana. Sema hamna team yenye ukuta mgumu Kwa ligi ya NBC
Siku hizi umeanza kuwa na akili kijana.Kwa miaka Mitatu hadi Mitano ijayo hakutatokea Mshambuliaji ambaye ni Complete Package katika hii NBC Premier League kama Fiston Kalala Mayele GENTAMYCINE.
Namkubali mno na Ninampenda.
Kwa pale ulaya una mfananisha na nani??Kwa miaka Mitatu hadi Mitano ijayo hakutatokea Mshambuliaji ambaye ni Complete Package katika hii NBC Premier League kama Fiston Kalala Mayele GENTAMYCINE.
Namkubali mno na Ninampenda.
Luis ajawai kuwa striker hatari kwenye ligi ya bongo kwa sabb cheki rekodi yake ya magoli ana magoli mangapi??Kaka mkubwa binafsi mpaka sasa sijamuona mshambuliaji hatari kama Louise Miqson, na hakuna mashambuliaji kwenye ligi hii ya kibongo mpaka sasa aliyevunja rekodi yake sio kwa play consistency wala bei aliyouzwa sokoni baki na mayele wako. am out!! [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Okwi wa moto na Mayele huyu, unamchukua nani?Kwa miaka Mitatu hadi Mitano ijayo hakutatokea Mshambuliaji ambaye ni Complete Package katika hii NBC Premier League kama Fiston Kalala Mayele GENTAMYCINE.
Namkubali mno na Ninampenda.
Huyu Mayele ana magoli mangapi? Hata 20 alishindwa kufikisha... utopolo mkamchukia MpoleLuis ajawai kuwa striker hatari kwenye ligi ya bongo kwa sabb cheki rekodi yake ya magoli ana magoli mangapi??
Kwan mpole alifikisha 20Huyu Mayele ana magoli mangapi? Hata 20 alishindwa kufikisha... utopolo mkamchukia Mpole
Haaland.Kwa pale ulaya una mfananisha na nani??