Ni ulimbukeni kuwazuia wasanii kutumia mavazi ya Polisi katika filamu zao

Pia nahis kuna tatizo kwenye sheria zetu,sijawai kuona movie iliyotengenezwa na maproducers wakubwa kutumia mandhari ya kibongo (labda serengeti NP) vinginevyo wanaitumia Kenya zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo wana umimi, hiki changu tu. Sijawahi kmsikia m'bongo anayekubali nyumba yake nzuri (mansion) itumike kuigizia eti "watanichora" halafu waje kuniibia. Kumbe kwa wenzetu mtu anatoa nyumba yake nzuri au duka au kiwanja vitumike kuigizia lakini kwa malipo.
 
Ndo tunapofeli hapo wenzetu wanapewa vitu vyote Kwa uhalisia wake ndo maana wanatoboa
 
Naamini yote YANAWEZEKANA endapo taratibu zutafuatwa kwa kuomba kibali na mahitaji yako , ikiwemo vifaa na mafunzo , ukiweka wazi hizo lako LITAKUWAJE?

Tunapenda kukurupuka ss wenyewe na kutoa maigizo ya HOVYO kisha tunasema tatizo NCHI INAKATAZA KUTUMIA VIFAA HALISI.

Kumbuka HAYO yote yataambatana na MALIPO ya maana.
 
Sasa utashangaa unaweza kuwa stejini na umevaa nguo za jwtz na eti wakaja kukuvua au ukishuka wanakuwashia moto!!
Kumbe shida ni hao hawasomi.

Kuhusu kupata kibali ni rahisi tuu.
Elimu hii wasanii na wanatasnia wengi hawaifahamu na hata kama wanajua uenda haifanyi kazi hivyo iliandikwa kisheria kwenye utekelezaji wake na vyombo vinavyosimamia hiyo haki.
 
Umefanya jambo zuri na kubwa kuleta somo hili hapa, wengi wetu kipengele hiki cha sheria huwa hatukifahamu zaidi ya kujikuta tukishavunja sheria hizi kwa kuvaa mavazi haya kwa kutokujua tukakutana na majeshi yetu ni kipigo na kurukishwa kichura chura au kudhalilishwa hadharani kwa kuvuliwa nguo kana kwamba ndivyo sheria inavyoagiza.
 
Ndyooo jimmy angependeza sana na gwanda yaan.
 
Asante kwa mawazo chanya kama haya we ni asset kwa jamii.
 
Ndo tunapofeli hapo wenzetu wanapewa vitu vyote Kwa uhalisia wake ndo maana wanatoboa
Ndiyo maana yake, mtu aliyewekeza kikubwa lazima ategemee kikubwa pia lakini yule wa kuunga-unga inawezekana hata asipate hicho anachotarajia ndicho kinachoikumba tasnia yetu.
 
Tafuta movie hizi.. Wenzetu Kenya wametuacha mbali.

1.Mission Rescue..

2.Mpakani
Nakumbuka hawa watu miaka michache iliyopita tulikuwa tumewaacha mbali mno, wakiwa na hakina baraza, mama kayai na yule fupii mwala ndo walikuwa waigizaji wao maarufu lakini leo hii eti nawao tunawaza kufuatilia muvi zao.
 
Mpaka kuvaa gwanda si mchezo! Haijalishi ziwe za jeshi au polisi

Wanaume tumezisotea na tumezilia kiapo!

Ila yule askari wa Zenji nahisi alikuwa wa mchongo au aliingia kwa connection. Avae gwanda na aliwe ndogo?! πŸ˜³πŸ€” Haiwezekani

Samahani nimetoka nje ya mada kidogo ila gwanda ni habari ingine!
 
"..lakini kwa malipo" hiyo ndiyo sababu kuu ndugu, filamu zetu zinaendeshwa chini ya bajeti ndogo mno kiasi kwamba karibia robo tatu ya kile kilichotumika kwenye muvi iwe ni magari,nyumba mpaka maofisi ni ya kuazima na kuombaomba kwingi hivyo siyo rahisi unishawishi niame nyumba yangu kwa muda na familia nikua che uigiziemo wakati unajua fika kuwa mkono mtupu haurambwi.
 
Ni shabiki kindaki ndaki wa Jimmy.

Misuko suko
Double J
Foundation
Afu kuna ile kacheza na baby madaha. Jina nimesahau

Hizi alitisha sanaaaa, sichoki kutazama yaan.
We naonaga Comments zako kwenye mada za hovyohovyo tu na za ushoga. Kwenye vitu serious walaaaaa! Ila siku ukiletwa muswada wa kujadili maslahi yenu watu wa shetani (wa upinde) utachangia πŸ˜€

Dunia inaenda kasi sana! πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ
 
Pia nahis kuna tatizo kwenye sheria zetu,sijawai kuona movie iliyotengenezwa na maproducers wakubwa kutumia mandhari ya kibongo (labda serengeti NP) vinginevyo wanaitumia Kenya zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana ya mchango wa serikali katika kutoa kipaumbele katika jambo lake, tofauti na hapo tutaendelea kuwatupia lawama wasanii na maproduction managers ambao nao hawana la kufanya.
 
We naonaga Comments zako kwenye mada za hovyohovyo tu na za ushoga. Kwenye vitu serious walaaaaa! Ila siku ukiletwa muswada wa kujadili maslahi yenu watu wa shetani (wa upinde) utachangia [emoji3]

Dunia inaenda kasi sana! [emoji23][emoji1487]
Hivi badoo uko na mieee tyuuh?? Nkajua ushanisahau eti.

Huko kwenye vitu vya maana nimekuachia wee, uwakilishe genius. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sheria za nchi hazitaki mtu asiye member wa majeshi kuvaa sare za jeshi lolote la tanzania au kuvaa sare inayofanana na jeshi. Hizo ni sheria alizotunga mbunge wako
Mm na wewe tuombe mbunge wetu apeleke mswada bungeni sheria hiyo ibadilishwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…