Ni umri gani mtoto aendelee kulala kitanda kimoja na wazazi?

Ni umri gani mtoto aendelee kulala kitanda kimoja na wazazi?

ndonger

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2018
Posts
894
Reaction score
1,635
Wakuu..mtoto miaka 6 anaenda 7 hivi ni haki kulala na wazazi mama yake anangangana kuwa ni kawaida.

Ana chumba chake kizuri na cha gharama kwel ila toto linataka lala na mama.

Mnaonaje wakuu hili swala.

Kivumbii
 
Back
Top Bottom