Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
HahaaaaIsambae mara ngapi???😂😂😂 mzigo upo kuanzia shuleni hadi kitaa hajapata tu watu wa kumsanua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaaIsambae mara ngapi???😂😂😂 mzigo upo kuanzia shuleni hadi kitaa hajapata tu watu wa kumsanua
Mkuu watoto wanaweseka Sana,, haifai kulala peke yake mtoto chini ya miaka 7,Sio kweli, huo ni ugonjwa. Nimeshawahi muona jamaa akiwa mtu mzima anafanya hivyo. Hiyo si kwa watoto wote.
Hata Mimi nimeshuhudia,na mara nyingi ma single Maza ndio Wana hizo tabia na mtoto wa kiume kama huyo akikua anajikuta kawa ana tabia za kishogaMkuu hapo hapo umenikumbusha nimeshuhudia Sana hii Kwa majirani zangu kiasi kwamba mpaka naona aibu kuuliza japokuwa najua sio jambo zuri.
Mara nyingi nimeshuhudia mama anamchukua mtoto wake wa kiume wa Miaka 5,6 au 7 wanaenda bafuni na wakitoka wote wameoga.
Isambae mara ngapi???
Inabidi kuwe na chumba maalum chenye nafasi au kama chumba cha wazazi ni kikubwa sana hadi licha ya kitanda, bado kuwe na nafasi ya kuweka magodoro chini. Ni kama kambi fulani hivi, hadithi nyingi, na kujua kinachoemdelea katika maisha yako.Akianza kuona na kuelewa mambo
Wazazi muwe na siku 1 kila mwezi ya kulala na watoto wenu wote
Mnatandika magodoro chini mnavaa night clothes mnalala inaongeza upendo na ukaribu.